Nahitaji mkopo wa milioni 2

Mpendasifa

JF-Expert Member
Joined
Dec 4, 2013
Posts
277
Reaction score
110
Wakuu nahitaji mkopo wa milioni mbili kwa muda wa miezi miwili,dhamana ni kadi ya Gari . Anayeweza kunisaidia tuwasiliane
 
Wakuu nahitaji mkopo wa milioni mbili kwa muda wa miezi miwili,dhamana ni kadi ya Gari . Anayeweza kunisaidia tuwasiliane

Naweza kwani upo wapi?? Na je upo tayari tukaandikishane mahakamani??
 
Wakuu nahitaji mkopo wa milioni mbili kwa muda wa miezi miwili,dhamana ni kadi ya Gari . Anayeweza kunisaidia tuwasiliane

Gari ina thamani gani? Na je huwezi kwenda kuripoti police kuwa umepotelewa na card ya gari? Hapo mi naona dhamana iwe ni gari yenyewe tena kwa maandishi na mhuri wa wakili!
 
Gari ina thamani gani? Na je huwezi kwenda kuripoti police kuwa umepotelewa na card ya gari? Hapo mi naona dhamana iwe ni gari yenyewe tena kwa maandishi na mhuri wa wakili!

Mkuu gari ina thamani ya milioni 11, siwezi kufanya hicho kitu na tunaweza kwenda pamoja mpka TRA ili kueza kujihakikishia kuwa hicho kitu hakiezi kufanyika. Hiyo Gari ndo naitumia kwa mihangaiko ya kutafuta pesa ,sasa nikiiiacha inakuwaje tena
 
Mkuu gari ina thamani ya milioni 11, siwezi kufanya hicho kitu na tunaweza kwenda pamoja mpka TRA ili kueza kujihakikishia kuwa hicho kitu hakiezi kufanyika. Hiyo Gari ndo naitumia kwa mihangaiko ya kutafuta pesa ,sasa nikiiiacha inakuwaje tena

All the best ndg yangu ufanikiwe!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…