Una haki ya kusema hivyo but hi sredi nilikuwa nauliza criteria za wao kutoa withdrawal benefit na unemployment benefit. Nilipoenda ofisi zao wakanielewesha kwamba mimi napaswa kuclaim withdrawal benefit.Mushkeri lazima uwepo brother, kama mhusika mwenyewe unajua shughuli za hii mifuko, nasema huna nia njemaView attachment 1333073
Sent using Jamii Forums mobile app
Mushkeri lazima uwepo brother, kama mhusika mwenyewe unajua shughuli za hii mifuko, nasema huna nia njemaView attachment 1333073
Sent using Jamii Forums mobile app
Nashukuru kwa angalizo mkuu. Naamini nimecalculate vizuri risk na execution plan.Haya mambo yashawaliza watu hiyo biashara unayoenda kufanya angalia usijeukalizwa ukabaki na madeni matapeli huwa wanawalenga sana watu wenye mafao,kuna mzee analia mambo hayo hayo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu unaweza kunisaidia kunielekeza kwenye Saccos inayokopesha kisheria nikafanye nao kazi.upo sahihi kabisa
hakuna biashara itakayolipa 1m kwa mwezi sembuse 2m
na ukishaitoa ni kesi kila siku wakati Waziri Mpango KESHAKATAZA BIASHARA HIYO ISIYOLIPIWA KODI
Huwez kua na hyo hela wew
Nashukuru kwa angalizo mkuu. Naamini nimecalculate vizuri risk na execution plan.
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeuliza swali mhimu sana mdogo wanguVida ndani ya mwezi mmoja hiyo million 2 mbona kubwa sana. Kama ni biashara unaenda kufanya faida itatoka kweli?.
Nisamehe nauliza vitu visivyohusiana na mada.
🤣🤣🤣🤣....Huwez kua na hyo hela wew
Kapata dili la madini huyo we muache sisi tumenunua bando tunasubiri mrejesho hapaVida ndani ya mwezi mmoja hiyo million 2 mbona kubwa sana. Kama ni biashara unaenda kufanya faida itatoka kweli?.
Nisamehe nauliza vitu visivyohusiana na mada.
PSSSF wanalipa sema within miezi mitatu ndo wanalipa, Sasa bahati mbaya Mimi nina dharula.
Asante kwa ushauri lakini.
Sent using Jamii Forums mobile app
Well, Good luck.Usijali Paula! Nimefanya calculation naweza pata zaidi ya million tano faster Kama faida. Ni ishu ya msimu tu imejitokeza once in a lifetime.
Fursa zile za msimu. Kila kitu nimekiseti Kiko sawa natakiwa nipump tu hela ikalete hela nyenzake.
Thanks for your worry and concern sweet.
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah 😀😀Huwez kua na hyo hela wew
Nimefanya biashara sana mkuu, ninachokufanya Nina uzoefu nacho kwa miaka zaidi ya 9. Zaidi ni deal na sio biashara that's why naweza kutengeneza faida ya milion 5 kwa mtaji wa milion 8 ndani ya wiki 2.Samahani wewe umewahi fanya biashara hapo nyuma? Hv mbona mnadanganyika namna hii??
Mkuu nimekulia Geita, naweza kutapeliwa kwingine ila kwenye madini nayajua hata nikiwa gizani.Kapata dili la madini huyo we muache sisi tumenunua bando tunasubiri mrejesho hapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Nimehaidi within a month sababu nitapata hela kwenye hiyo biashara/deal ndo ntamlipa jamaa ndani ya mwezi naamini mafao yangu hayataguswa sababu deal italipa kwa wakati.Within/3 mths ! Na hapa umejicommit within a month! Lol
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣Huwez kua na hyo hela wew