Nahitaji mkopo wa milioni tano

Juniha

Member
Joined
Jan 7, 2018
Posts
11
Reaction score
5
Salaam, nimepata shida ghafla, naomba kwa yeyote anayeweza kunikopesha shilingi milioni tano kwa riba nafuu ndani ya miezi mitatu, dhamana hati ya nyumba. Nyumba ipo Sumbawanga mjini
 
Salaam, nimepata shida ghafla, naomba kwa yeyote anayeweza kunikopesha shilingi milioni tano kwa riba nafuu ndani ya miezi mitatu, dhamana hati ya nyumba. Nyumba ipo Sumbawanga mjini
Hakuna benki karibu yako Mkuuu au financial insitituiona yoyote
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…