njumu za kosovo
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 3,820
- 9,625
Umuofia kwenu.
Mimi ni muajiriwa wa serikali katika mkoa huu wetu Dsm, kutokana na changamoto za usafiri nimeona nijiongeze hata na tuk tuk kwanza, hivyo basi kama kuna kampuni inakopesha naomba tufahamishane na pia kama kuna mtu ana piki piki used anichek tuelewane kidogo kidogo nimpe ;note isiwe muundo wa hizi sanlg na fekon na iwe kuanzia Cc 150 na kuendelea
Mimi ni muajiriwa wa serikali katika mkoa huu wetu Dsm, kutokana na changamoto za usafiri nimeona nijiongeze hata na tuk tuk kwanza, hivyo basi kama kuna kampuni inakopesha naomba tufahamishane na pia kama kuna mtu ana piki piki used anichek tuelewane kidogo kidogo nimpe ;note isiwe muundo wa hizi sanlg na fekon na iwe kuanzia Cc 150 na kuendelea