Nahitaji mkopo wa Tsh. milioni 2 niongeze na zangu ninunue bot ya uvuvi

Johne

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2013
Posts
328
Reaction score
78
Kwa yeyote ambae yuko tayari kunikopesha milioni 2 kwa masharti yasiyo magumu tuwasiliane kwa namba 0782105526 na kabla hajatoa tukubariane jinsi ya kurejesha na kiwango cha riba.

Kabla hajatoa pesa tukutane FERRY DAR kukiona chombo husika na baada ya hapo tuandikishiane. Kwa alie serious afanye hvyo kabla ya jumapili mana chombo kipo sokoni nami sitaki kukikosa.
 

una sh. ngapi tuongee?
 

Namna nzuri nilidhani muwe kama joint venture mkuu. Mathalani mdau mwingine achangie kiasi kama hicho mfanye biashara kwa pamoja nadhani it can better work!!
 
Namna nzuri nilidhani muwe kama joint venture mkuu. Mathalani mdau mwingine achangie kiasi kama hicho mfanye biashara kwa pamoja nadhani it can better work!!

Namsikiliza yeye atakavyosema mana yeye ndio mtoaji wa pesa ila profit itabase kwenye capital contribution rate.
 
Ningepata mchanganuo wa biashara, nadhani him joint venture iko poa sana
 
mimi ninazo ila kadi ya gari na gari lako vinabaki kwangu , lisiwe chini ya 10M forced market value,mambo ya boti hiyo juu yk sina haja ya kuiona.Riba 15%,loan period 1 yr,installment to be paid after 6 month upon signing of contract and number of installments 3
 

yani mkopo wa milioni 2 nikupe kadi ya gari pamoja na gari yenye thamani ya milion 10 si bora niende bank. we kaa nazo wenye akili wamesha nicall na wengne wamenipm.
 
kikizama baada ya wiki moja kabla ya kuanza biashara nani adaiwe.
 
Kikizama chombo utalipaje deni, tuangalie na upande wa pili
 

mkuu wazo zuri sana boti inalipa ...mimi nishafanya jazi hiyo ila nlikuwa na boti ya faiber..sema nilianguka kibiashara kutokana na sababu fulani..
ila nta kupa # ya mzee mmoja ni fundi wa mashine za boti yuko feri hapi garage anaitwa rajab atakupatia fasta mkuu
 

Asante mkuu
 
Kaka unaweza tusaidia mchanganuo wa biashara like faida ikoje na mambo mengine
 
Hakuna biashara isiyokuwa na Risks Mkuu, Na mwanaume anapoamua kujituma mengi huweza kutokea, inabidi kukabiliana nayo Na hapo ndipo unaona moja kati ya tofauti za mwanaume na katoto 🙂

Kwa hiyo mkuu Risks are to be assesed and not to be feard! then watu wanajua kama waingie kazini ama la. Kiumbe hapo juu kaamua hadi kuchukua mkopo kuna mambo ataki yakawie mengine mbele ya safari.
Heshima mkuu


kikizama baada ya wiki moja kabla ya kuanza biashara nani adaiwe.
 
hee aiseeeee umekandamiza san akwenye riba aiseee
 
mkuu achana naye huyo waweza kutuwekea picha ya hicho chombo tukaona
yani mkopo wa milioni 2 nikupe kadi ya gari pamoja na gari yenye thamani ya milion 10 si bora niende bank. we kaa nazo wenye akili wamesha nicall na wengne wamenipm.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…