Nipo serious ndugu nahitaji 400,000 Kwa riba nafuuHaupo serious na mkopo wewe
Wanaokopesha Hela ndogo uhitaji wangu ni 400,000Kakope branch ipo play store mkuu
With fake ID nani atakukopesha humu?Nipo serious ndugu nahitaji 400,000 Kwa riba nafuu
Dhamana?Wanaokopesha Kwa riba nafuu tafadhari tuwasiliane 0656980802 nahitaji 400,000 asap Kwa mwezi au miezi 2
Dhamana?Wanaokopesha Kwa riba nafuu tafadhari tuwasiliane 0656980802 nahitaji 400,000 asap Kwa mwezi au miezi 2
Dhamana?Wanaokopesha Kwa riba nafuu tafadhari tuwasiliane 0656980802 nahitaji 400,000 asap Kwa mwezi au miezi 2
Dhamana?Wanaokopesha Kwa riba nafuu tafadhari tuwasiliane 0656980802 nahitaji 400,000 asap Kwa mwezi au miezi 2
Si ameweka Namba ya Simu tatizo nini hapo?With fake ID nani atakukopesha humu?
Kwann usikope kwa watu wako wa karibu? Au taasisi zinazojihusisha na mikopo
Wapi hio kausha damu alafu marejesho ni kila siku au kila wiki?Unakopa 460,000 unalipa 600,000 kwa miezi mitatu
Kwa mwezi laki mbili, maji yaliwahi kunifika shingoni nikajikuta nipo kwenye nyavu.Wapi hio kausha damu alafu marejesho ni kila siku au kila wiki?
Dhamana ya kwanza duka la nguo,kitanda na kabatiDhamana?
Chanzo chako Cha mapato?
Hii mikopo ni high risk uwezikano wa Hela kupotea ni mkubwa sana , watu wengi wanaokwenda huku hawana Sifa za kukopesha na Bank.Si ameweka Namba ya Simu tatizo nini hapo?
Mkuu Hilo duka na kitanda SI unaweza kuhamisha na kutoroka na Deni la watu?Dhamana ya kwanza duka la nguo,kitanda na kabati
Mkuu Hilo duka na kitanda SI unaweza kuhamisha na kutoroka na Deni la watu?Dhamana ya kwanza duka la nguo,kitanda na kabati