Nahitaji mkulima au muuzaji nafaka mwenye stock ya kutosha ya zao la dengu

The Certified

JF-Expert Member
Joined
Feb 10, 2016
Posts
910
Reaction score
774
Habari,

Wakulima na wauza mazao, nahitaji mkulima au muuzaji nafaka mwenye stock ya kutosha zao la dengu tuwasiliane mara moja.

Asante sana.
 
Habari,

Wakulima na wauza mazao, nahitaji mkulima au muuzaji nafaka mwenye stock ya kutosha zao la dengu tuwasiliane mara moja.

Asante sana.
Ungetoa maelezo ya kutosha,uko wapi na unaitaji tani kiasi gani na bei unanunuaje kwa kg na mawasiliano yako.
Ngoja waje wenye stock.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…