Nahitaji Mold/ fremu za kutengeneza mikanda ya gypsum

Nahitaji Mold/ fremu za kutengeneza mikanda ya gypsum

Kerosine Bal

JF-Expert Member
Joined
Mar 18, 2014
Posts
247
Reaction score
231
Habari wakuu, nahitaji fremu za kutengeneza mikanda ya gypsum. Anayefahamu inapatikana wapi na ikiwezekana na bei yake akoment nitamfuata inbox tuyajenge.

Pia, anayetengeneza hii mikanda naomba akomenti nitamfuata inbox.

Asanteni sana.
 
Habari wakuu, nahitaji flemu za kutengeneza mikanda ya gypsum. Anayefahamu inapatikana wapi na ikiwezekana na bei yake akoment nitamfuata inbox tuyajenge. Pia, anayetengeneza hii mikanda naomba akomenti nitamfuata inbox. Asanteni sana.
Search humu kuna nyuzi nyingi zitakusaidia.

#MaendeleoHayanaChama
 
Habari wakuu, nahitaji flemu za kutengeneza mikanda ya gypsum. Anayefahamu inapatikana wapi na ikiwezekana na bei yake akoment nitamfuata inbox tuyajenge. Pia, anayetengeneza hii mikanda naomba akomenti nitamfuata inbox. Asanteni sana.
Nnaweza kukuuzia tuna kampuni inayodeal na hizi Gypsum Mould inbox tuongee biashara.

ABD7723C-BC82-4A82-89CC-A2BA01769BCC.jpeg
E5CB0C87-B042-4485-A6A2-D99D2C987BC4.jpeg
09760721-A94A-4215-A4CB-77A0E0F901EF.jpeg
1F0507D1-D16F-45AB-9D0B-EE8B2509A726.jpeg
 
hi bro nahitaji mould lakn pia sina uzoefu na utengenezaji wa mikanda utanisaidiaje kupata elimu kidogo juu ya utengenezaji wa iyo mikanda
 
Habari wajasiriamali tunawakaribisha ofisini kwetu kujipatia huduma zetu pia tunatuma mzigo popote ulipo kwa nchi za Africa mashariki tunakuhumia.

Pata huduma zetu mikanda ya Gypsum kwa bei ya 1500 kwa pisi, pata maua na Engle za Gypsum kwa bei mzuri pia Pata vifaa vya kutengenezea mikanda ya Gypsum kwa wale wanaotaka kujiari kwa pisi moja ya mold ya mkanda bei 250,000 na mold za maua ya kati bei maelewano kulingana na size.

Tupo mbagala chamazi na kitonga Dar es salaam. Simu +255653020784 pia itapatikana whatsap.
View attachment 2764160View attachment 2764164View attachment 2764165View attachment 2764166View attachment 2764177
Mcheki Hisham Pokoho
 
Back
Top Bottom