Kerosine Bal
JF-Expert Member
- Mar 18, 2014
- 247
- 231
Search humu kuna nyuzi nyingi zitakusaidia.Habari wakuu, nahitaji flemu za kutengeneza mikanda ya gypsum. Anayefahamu inapatikana wapi na ikiwezekana na bei yake akoment nitamfuata inbox tuyajenge. Pia, anayetengeneza hii mikanda naomba akomenti nitamfuata inbox. Asanteni sana.
Nnaweza kukuuzia tuna kampuni inayodeal na hizi Gypsum Mould inbox tuongee biashara.Habari wakuu, nahitaji flemu za kutengeneza mikanda ya gypsum. Anayefahamu inapatikana wapi na ikiwezekana na bei yake akoment nitamfuata inbox tuyajenge. Pia, anayetengeneza hii mikanda naomba akomenti nitamfuata inbox. Asanteni sana.
CC; CCM & YANGANnaweza kukuuzia tuna kampuni inayodeal na hizi Gypsum Mould inbox tuongee biashara.
View attachment 2391670View attachment 2391671View attachment 2391672View attachment 2391673
Mcheki Hisham PokohoHabari wajasiriamali tunawakaribisha ofisini kwetu kujipatia huduma zetu pia tunatuma mzigo popote ulipo kwa nchi za Africa mashariki tunakuhumia.
Pata huduma zetu mikanda ya Gypsum kwa bei ya 1500 kwa pisi, pata maua na Engle za Gypsum kwa bei mzuri pia Pata vifaa vya kutengenezea mikanda ya Gypsum kwa wale wanaotaka kujiari kwa pisi moja ya mold ya mkanda bei 250,000 na mold za maua ya kati bei maelewano kulingana na size.
Tupo mbagala chamazi na kitonga Dar es salaam. Simu +255653020784 pia itapatikana whatsap.
View attachment 2764160View attachment 2764164View attachment 2764165View attachment 2764166View attachment 2764177