wewe hufahi unakiburi na kujikweza mtoto wa kike unataka mwanamme ndio awe msaidizi tena.. Duh.Nahitaji mpenzi na msaidizi wa maisha
Nimekulia maisha ya mahangaiko..nahitaji mtu wa kunitoa upweke na huzuni nliyonayo. Nahitaji kutulia nami
Naitaji wa kunishika mkono nitoke hapa nilipo
Naahidi upendo wa kweli kwako.
Mimi ni mwanamke. 24-28
Mkristo
Menine utayajua
Asante
Sent using Jamii Forums mobile app
WanakujaNahitaji mpenzi na msaidizi wa maisha
Nimekulia maisha ya mahangaiko..nahitaji mtu wa kunitoa upweke na huzuni nliyonayo. Nahitaji kutulia nami
Naitaji wa kunishika mkono nitoke hapa nilipo
Naahidi upendo wa kweli kwako.
Mimi ni mwanamke. 24-28
Mkristo
Menine utayajua
Asante
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa wewe unaposema msaidizi una maanisha nini??
Kwa kwawaida mwanamke ndio msaidizi siku zote,na iko hivyo hata kwenye kitabu kitakatifu,.sasa kama wewe ndio unataka msaidizi tena nashindwa kuelewa una maanishaje,.em' nieleweshe kidogo hapo tafadhali..
Wengi wenu huwa mna tatizo juu ya tabia zenu.Nahitaji mpenzi na msaidizi wa maisha
Nimekulia maisha ya mahangaiko..nahitaji mtu wa kunitoa upweke na huzuni nliyonayo. Nahitaji kutulia nami
Naitaji wa kunishika mkono nitoke hapa nilipo
Naahidi upendo wa kweli kwako.
Mimi ni mwanamke. 24-28
Mkristo
Menine utayajua
Asante
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni pm nikwambie jambo la muhimu na lazima.Nahitaji mpenzi na msaidizi wa maisha
Nimekulia maisha ya mahangaiko..nahitaji mtu wa kunitoa upweke na huzuni nliyonayo. Nahitaji kutulia nami
Naitaji wa kunishika mkono nitoke hapa nilipo
Naahidi upendo wa kweli kwako.
Mimi ni mwanamke. 24-28
Mkristo
Menine utayajua
Asante
Sent using Jamii Forums mobile app
Mtu hata umri wake haujui nani atamuoa?Kwa wewe unaposema msaidizi una maanisha nini??
Kwa kwawaida mwanamke ndio msaidizi siku zote,na iko hivyo hata kwenye kitabu kitakatifu,.sasa kama wewe ndio unataka msaidizi tena nashindwa kuelewa una maanishaje,.em' nieleweshe kidogo hapo tafadhali..
Mnatongoza wanaume wenzenu bila kujua. JF ni zaidi ya uijuavyoHuwa mnaweka mabandiko then watu tuliosilias tukiwatafuta hamjibu!!
Sent using Jamii Forums mobile app
kama n kweli n kweli bas walaaniwe!! kwann wanatutesa wenzao??Mnatongoza wanaume wenzenu bila kujua. JF ni zaidi ya uijuavyo
Jitu linaanzisha thread likijifanya jike ili liwachore wanaume wenzake na kupata mistari ya kuwatokea michuchu.
Jitu linaanzisha thread likijifanya jike ili liwachore wanaume wenzake na kupata mistari ya kuwatokea michuchu.
Huyo mwanaume na lazima atakuwa shoga maana umri wake mwenyew haujuiKwa wewe unaposema msaidizi una maanisha nini??
Kwa kwawaida mwanamke ndio msaidizi siku zote,na iko hivyo hata kwenye kitabu kitakatifu,.sasa kama wewe ndio unataka msaidizi tena nashindwa kuelewa una maanishaje,.em' nieleweshe kidogo hapo tafadhali..
Usifananishe usaidizi wa roho mtakatifu na mambo ya mke na mume, bibilia inamtaja mwanamke kama msaidizi wa mume wakeMkuu kwa upande wangu yuko sahihi, msaidizi kwa maana ya biblia ni yule anayefanya kile usichokiweza. Yesu aliwaambia mitume wakae pale hekaluni hadi hapo atakapomtuma msaidizi(Roho mtakatifu). Huyu msaidizi hutuombea kwa baba maana hatujui kuomba itupasavyo(hivyo alikuja kama msaidizi kufanya lile ambalo hatuliwezi - kutuombea). Hapa inaonyesha kile tusichokiweza msaidizi ndicho anachokifanya. Kwa maana hiyo huyu mleta mada hii yuko sahihi, kumtafuta msaidizi(mume) ambaye atasababisha Yale asiyoyaweza mwenyewe, yawezekane akiwepo hiyo msaidizi mfano wa mambo hayo ni kupata watoto, kuondoa upweke nk. Hii ni kwa pande zote mbili mwanaume na mwanamke, wote tunahitaji wasaidizi. Sababu mwanaume Hata uwe mjanja vipi huwezi kupata mtoto hadi mwanamke ahusike vivyo hivyo kwa mwanamke.