Nahitaji mpenzi wa kiume

Status
Not open for further replies.
Pita maeneo ya bar za Mwananyamala, wapo ma-handsome kibao wanaotafuta mijimama kama wewe, lakini jiandae kwa kumpa mbele na nyuma, maana ndio taratibu zao.
 
Sioni aibu maana atakuwa kama mume wangu,na wanangu watamuheshimu kama baba yao
Duh hii kali, umeshapata? yaani mwanao 33yrs aite 26yrs na kumshimu kama baba? where are we taking this world to? Tafuta sisi wakubwa wenzio usibemende watoto aisee, ni hatari.:sick:
 
we bibi mchawi, au kuna mganga anakudangaya kua ukiona nyeti za kijana utatajirika. game hii ni sawa na song la Sajna 'mganga'.
dawa ya moto ni moto, tafuta dogo anaeishi kwa "matumaini" akufanyie hiyo kazi, atakua anapiga mpaka anasimamia, ikibidi hata maji mtamwagia kupoza injini maana hata amini kama kaachiwa butcher kiulaiiin.
 
Hana haja ya kumzalia, cha msingi hapa ni utamu ....period!! Siku zake za nini? watu hapa hawaangalii siku za mtu....huh!

Miaka 55? Sasa atapata utamu gani kwako? Kutengana na mume wako katika umri kama huo? Du! Wewe ni noma. Ulimaliza kupata siku zako ukiwa na miaka mingapi? Sasa mtoto wa miaka 22 hadi 26 utamzalia kweli?
 

we Madame B wewe!
 
Last edited by a moderator:

we Madame B wewe!
 
Last edited by a moderator:
duuh! Kweli dunia imekwisha, bibi 55yrz anataka mapenzi? Utata huu.
 
Sasa wewe unahitaji mwanaume wa kukuoa na una umri mkubwa, vp unaonaje ukiwa cngle maana unaweza kupata mwanaume ambaye anaweza kukuumiza au vp mama!
 
Sitaki pesa yako wala nini fanya mapango unitafute niwe najilia vyangu tuu na mvua hizi za dsm kipindi hiki nikifungiwa nimefungiwa.....natoka msimbazi nahamia mabwepande
 

unatisha, tupe hiv status yako
 

aisee hujaiona thread yangu mama me ntakuPM unilee vizuri
 
Unata wa kufa nae tuu na bila shaka utampata maana life letu vijana tunapenda sana mteleko ila 55 kwa vijana sasa lazima watataka 0713
 
He! he! heeeee!! sicheki mazuri?! but napita tu jamani.... LMAO.......!!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…