Nahitaji mpenzi wa kiume

Status
Not open for further replies.
njoo kwangu ntakupa unachotaka maana na mie nataka kulelewa

Siku hizi ni makontena tu sio punda tena kama ilivyozoeleza. kataa kuwa kontena fanya kazi kwa bidii kwa maisha yako na kizazi chako
 
Account yako Ina sh ngapi ? advance kwanza ya 300m then I risk my self on you
 
Huyu atakuwa ni jinni makata. Angalia miziwa yake...
 
Dah huu sasa ni ujinga...na nadhani umeachika coz hujatulia na nahisi alikufumania na dogodogo...55 kwa 26 hii kali...si mwanao huyo...halafu wewe utamjengea nyumba masaki ama???
 
 
Sioni aibu maana atakuwa kama mume wangu,na wanangu watamuheshimu kama baba yao.

Unatania au uko serious? Huoni hata aibu kutangaza hivyo? For your information, watoto wako hawatamheshimu bali watakudharau wewe na huyo bwa'mdogo unayetafuta kumharibia future yake!! Caution: Be careful ukishamdaka (mwenye njaa zake) asijedundwa na wanao na kutimuliwa kama mbwa tu!! Seriuosly, wengine mmechoka kuheshimiwa!!
 
Sitaki aoe na sitaki atafute Mtoto.
Dalili za mwisho wa dunia ndiyo zinaanza kujionyesha....kweli kuna kijana atakayekubali mtumba ambao hata ukichanika haushoneki tena....bibi acha hulka za kutaka kubemenda watoto wa akina mama wenzio ...siyo vizuri eti!
 
Wao mamy nimeipenda ok nipo teyari mim nitakupa ufurahi kiasi kwamba utatamani mda wote unione na ata kuckia msisimko unionapo pumzi ninayo 0689605446 find me
 
Mapenzi ya sasa hayajalishi Umri ni namna tu yakuendesha maisha na kufanya yanayostahil mimi wako nitafute 0689605446
Wao mamy nimeipenda ok nipo teyari mim nitakupa ufurahi kiasi kwamba utatamani mda wote unione na ata kuckia msisimko unionapo pumzi ninayo 0689605446 find me
 

mbona unataka vjna wadogo wakati wapo wazee wenza
 

mbona unataka vjna wadogo wakati wapo wazee wenza
 
Kwani nataka nimzalie mtoto?
Me nina watoto wakubwa.
Wa kwanza yuko nje ameoa na ana familia yake.
He's 33yrs,na wengineo.
Si Haki wewe una watoto huyo utakaweka ndani yeye familia atapata lini? je utamruhusu aoe? huo ni ubakaji wangu. tafuta wa umri wako ambaye yuko free wako wengi tu tena experienced na hayo utakayo!!
 
ama kwel wonders shall never cease, yani yeye ana watoto lakin hatak mwenzake apate watoto , JF imevamiwa wakuu walianza watoto wa facebk now ......
Mwacheni mama wa watu, anajionea taabu kulea watoto wawili kwa pamoja.
 
mbona unataka vjna wadogo wakati wapo wazee wenza
wazee wenza hawana pumzi....gari yenyewe ni obsolete so inahitaji mashine ambayo ikiguswa tu, inapiga starter vinginevyo hakuna safari.
 
Changamkieni fursa hiyo jamani wengine , hata mimi natafuta kijana mmoja.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…