Duuuuuhh, we mama wewe, inaonekana kama uliruka stage fulan ukapata balehe la uzeen, huyo kijana unayemtaka ni wa kukupa mapenzi au unataka kumlea? if una moyo wa kumsaidia si uende kwenye vituo vya kulelea watoto yatima wapo wengi tu wanaohitaji msaada?, if n kukupa mapenzi basi olewa na mtoto wako uone kama ni vzur coz huna aibu hata kidogo kama unaweza kulala na kijanan ambaye n sawa na mtoto wako wa kumzaa utashindwaje kulala na mwanao? hii inaonesha jinsi gani mshipa wako wa aibu usivyofanya kazi.