Nahitaji mpenzi wa kiume

Status
Not open for further replies.
Kijana wa miaka 22 - 26 ana mapenzi gani wewe bibi kama si kutaka kunukishwa mikojo na wewe kubemenda mtoto wa watu... Lol....
Kwa hiyo umpotezee muda asioe wakati wewe una watoto tayari! Mwogope mungu wewe kibibi ambaye tayari ushaiona menopause! Una shetani wa ngono wewe, umri huo bado unataka kungonoka!


Sent from my BlackBerry 9800 using JamiiForums
 
Duuuuuhh, we mama wewe, inaonekana kama uliruka stage fulan ukapata balehe la uzeen, huyo kijana unayemtaka ni wa kukupa mapenzi au unataka kumlea? if una moyo wa kumsaidia si uende kwenye vituo vya kulelea watoto yatima wapo wengi tu wanaohitaji msaada?, if n kukupa mapenzi basi olewa na mtoto wako uone kama ni vzur coz huna aibu hata kidogo kama unaweza kulala na kijanan ambaye n sawa na mtoto wako wa kumzaa utashindwaje kulala na mwanao? hii inaonesha jinsi gani mshipa wako wa aibu usivyofanya kazi.
 
kwakuwa vijana tumekuwa na sera ya kukwepa majukumu, hii imetokana na wanawake wenyewe unapo mtongoza tu anaanza na kukupa majukumu,nazani hii inatuhusu, embu ni PM tufunge mjadala..
 

Sasa AmKATRINA mama watoto mke wangu sweety, kwa hatua uliyofikia naomba tu unisamehe nimekoma sikuachi tena
 
AmKATRINA hadi leo hujapata tu huyo Serengeti boy? 56-26=30 years!!! Kwa hiyo unataka date mtoto wako tena ambaye kwa miaka 30 ni lazima atakuwa na watoto i.e wajukuu zako!!! Ninaamini labda mishipa yako ya fahamu imekatika!!! Utaweza vulia nguo huyu mwanao? Ila sema Mario, wanaume wasiotaka kuwajibika wako wengi mno miaka hii!!! Ndiyo maana wakioa ukichwa cha nyumba unawashinda maana wanakuwa walishaolewa na mama zao hivyo wao wanakuwa wasaidizi badala ya kichwa cha nyumba.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…