We mpuuzi sana [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] zote hizo ni style ?Kwangu hilo ondoa shaka napiga zote katerelo, kanungulusi na akachabara mwenyewe utaning'ang'ania na kuniandikia urithi
Uzi wa 2012 wana miaka 8inaenda now.Bado unadhani wako pm?Jamani mbona mama kaondoka humu vijana mmeshaanza fujo zenu eeee
Mwambieni aje msikae nae sana huko PM mwacheni akuje na huku
Duh kumbenimevamia kiporoUzi wa 2012 wana miaka 8inaenda now.Bado unadhani wako pm?
Atakuwa alishakufa thread ni ya mwaka 2012..Kuondoka kimya kimya sio poa..atupe mrejesho
Niongezee mleta uzi kwa sasa ana miaka 62 kuelekea 63. ππUzi wa 2012 wana miaka 8inaenda now.Bado unadhani wako pm?
Huyu dada mme wake alifariki na ukimwi
Mkoa ganHawatajisikia vibaya kwa sababu niliwashirikisha ktk huo uamuzi na walilidhia
shughuli ya niniShughuli