Nahitaji mpenzi wa kiume

Status
Not open for further replies.
Sitaki aoe na sitaki atafute Mtoto.
Mtu mzima hovyo, sijawahi kuona mtu mbinafsi kama wewe na kama haya ndiyo mambo yako subiri vijana watakuchezea baada ya miaka kadhaa wanaondoka na kuoa wake zao. Si utulie au mwombe Mungu urudiane na mumeo? Wewe unatamani maisha ya uzinzi tu.
 
................................. Njoo ufanyiwe maombiiiiiiii .... njoo uombeweee..... njoo ufanyiwe maombi..... tatizo la kidogo hilo.... njoo ufanyiwe maombiii njooo... uombewe............
 
Mtu mzima hovyo, sijawahi kuona mtu mbinafsi kama wewe na kama haya ndiyo mambo yako subiri vijana watakuchezea baada ya miaka kadhaa wanaondoka na kuoa wake zao. Si utulie au mwombe Mungu urudiane na mumeo? Wewe unatamani maisha ya uzinzi tu.
Wacha kupayuka, usiingie JF kichwa kichwa, huyo anaweza hata akawa ni Mwanaume. soma post ya Zomba hapo juu.
 
naoka huyu mtu anatatizo sio bure halafu anataka kucheza na akili za watu ukijua wote niwendawazimu kama wewe halafu ukiwa mwongo basi uwe nakumbukumbu kuna uvi aliweka hapa july kuna unatafuta ukatitilika kweli sifa unae mtaka sasa leo unajifanya unakuja kivingine unajua hapa facebook kwenye watoto wengi huu ni uwanja wa great thinker ebu toa upuuzi wako. Usiweke thread ionekane eti nawewe ulipost kama huna cha kuandika kaa kimya wengine mnaweza kuwa wasomaji kuliko kupost utumbo
 
Vp mtandao wetu ule utapatikana kabla sijafanya maamuzi magumu?
 
Mtu mzima hovyo, sijawahi kuona mtu mbinafsi kama wewe na kama haya ndiyo mambo yako subiri vijana watakuchezea baada ya miaka kadhaa wanaondoka na kuoa wake zao. Si utulie au mwombe Mungu urudiane na mumeo? Wewe unatamani maisha ya uzinzi tu.

Kweli mkuu natafuta.
 
Thanks Man umenisaidia kuokoa muda wangu badala ya kukaa kwenye thread ya mtu mpuuzi kama huyu anayedhani anaweza kucheza na akili za watu hapa JF.
Am out.

Ficha Upumbavu Wako JB WISER
 
Last edited by a moderator:
jamani si utakuwa BIBI YAKE...
mm namiaka 25, mama yangu ajafka 50!
Duh sijawai ona! Najua utawapata
 
Mtu mzima hovyo, sijawahi kuona mtu mbinafsi kama wewe na kama haya ndiyo mambo yako subiri vijana watakuchezea baada ya miaka kadhaa wanaondoka na kuoa wake zao. Si utulie au mwombe Mungu urudiane na mumeo? Wewe unatamani maisha ya uzinzi tu.

Basi niletee baba yako anioe.
 
Basi niletee baba yako anioe.
Wa kwako unaye, baba yangu ndo unaona wa kuchezea, my dady is now 70 in a happy marriage with my mumy at 63. Nenda kafanyiwe maombi kwa jina la Yesu mzee mwenzako mtarudiana tu.
 

NINA VIGEZO NIMEKUTUMIA MSG ANGALIA INBOX TUWASILIANE!! Achana na hao washamba wanazingua hapa
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…