Nahitaji mpenzi wa kiume

Status
Not open for further replies.
snowhite na Madame B msisumbuke sana kujiuliza mambo mengi nenda kwenye profile ya huyu mdada kisha angalia threads zake alizoanzishaga humu jamvini utamjua ni mtu gani..............hapa watu wanatoka mapovu wakati mwenzao anawatania tu. tena watu wakipitia nyuzi zake watakuja kufuta post zao hapa
 
Last edited by a moderator:

Ila ni kweli gfsonwin,
Lakini kwanini alete utani kwenye pahala pa U-serious?
Cha umuhimu hapa ni kuacha kuendelea kuchangia Post yake.
Anadhani kwa njia hyo aliyotumia ndo atampata?
Amechemka.
 
Last edited by a moderator:
Ila ni kweli gfsonwin,
Lakini kwanini alete utani kwenye pahala pa U-serious?
Cha umuhimu hapa ni kuacha kuendelea kuchangia Post yake.
Anadhani kwa njia hyo aliyotumia ndo atampata?
Amechemka.
hapo umenena kweli kwamba watu wasichangie yaani wauchakachue uzi mwanzo mwisho ama la waupotezee tu.
 
hapo umenena kweli kwamba watu wasichangie yaani wauchakachue uzi mwanzo mwisho ama la waupotezee tu.

Dawa ndio hiyo.
Asitake kupima imani za watu humu jamvini bure,
laa akatafute vizee wenzake huko mtaani kwao.

BTW mtoto anaendelea vizuri mamito?
Msalimie sana.
 
kuna kijana hapa anakwalify mama, ila anajua kutumia tigo zaidi unasemaje hapo?
 
Mwandiko wa Kiume Kabisa uo unataka kuzingua bangi hapa,Kwanza Katafute Kijana wa Kumlea Kwenye Magazeti ya Shigongo.....ungekuwa karibu ningekutia Makonzi ,Mx
 
Yani ww unaonekana mama wa Nyumbani umekosa kazi Una Post ***** si bora ungekaa kibalazani na wanawake wenzio Mpige Domo Mx
 
baada ya kutafakari sana nadhani napenda kuomba hyo nafasi. Mimi niko 25, nina sexy body afu ni daktari so kama utanichagua nitakuja na determine ya kukupima 'umeme' just in case. Halafu, nina mpenz wangu mrembo saanaa ambaye siwezi kumuacha, ila kwa sababu ya tamaa ya kulelewa iliyo ndani yangu niko tayari kumsaliti kwa muda ilimradi tu asijue. Swali: mama wewe unalipa ama effect ya menopause tayari imeweka alama?
 
Mkuu King Kong III hivi hili neno maana yake huwa ni nini? Maana naona mara kwa mara unalitumia.

<iframe src="http://www.hulkshare.com/embed_mp3.php?fn=uuc2zmjg6w4r&type=4&skin=sheep" width=100% height=24 scrolling="no" frameborder=0 marginheight=0 marginwidth=0></iframe>
 
Mama amenikumbusha Movie moja inaitwa DRACULLA VAMPIRE..!!ujana wako ule na nani uzee uje ukomaze watoto wa wanawake wenzio..!!
 
<iframe src="http://www.hulkshare.com/embed_mp3.php?fn=uuc2zmjg6w4r&type=4&skin=sheep" width=100% height=24 scrolling="no" frameborder=0 marginheight=0 marginwidth=0></iframe>

Tuma tena mkuu,naona hii imekataa kusomeka!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…