katniss bravechick
New Member
- Mar 30, 2019
- 1
- 0
Fanya kuni pm tuyajengeUwe mchangamfu
Uwe na akili ya maisha,namaanisha mfano hata kama sio msomi wa degree unaweza piga mission unapata hela.
Ujue kutafuta hela
Ujipende.uwe smart kimuonekano na kiakili
Uwe na upendo wa kweli,usiwe mbinafsi,uwe unajali
Uwe unajiamini na kusimama kama mwanaume.
Kimuonekano uwe mrefu kuanzia futi 5 kuendelea.
Mimi binti wa kawaida tu,sio mzuri sana
Sina pesa
Elimu ya kawaida
Mkristo
Mrefu 5 ft
Kama unajijua bado uko kwenye harakati zako za umalaya tafadhali usije.kwa heshima zote naomba usije.
Hapa sio pake.
Ww elimu ya kawaida halafu unataka degree?
Wewe umesema sio mzuri kisha unataka mwenye pesa na awe smart.Uwe mchangamfu
Uwe na akili ya maisha,namaanisha mfano hata kama sio msomi wa degree unaweza piga mission unapata hela.
Ujue kutafuta hela
Ujipende.uwe smart kimuonekano na kiakili
Uwe na upendo wa kweli,usiwe mbinafsi,uwe unajali
Uwe unajiamini na kusimama kama mwanaume.
Kimuonekano uwe mrefu kuanzia futi 5 kuendelea.
Mimi binti wa kawaida tu,sio mzuri sana
Sina pesa
Elimu ya kawaida
Mkristo
Mrefu 5 ft
Kama unajijua bado uko kwenye harakati zako za umalaya tafadhali usije.kwa heshima zote naomba usije.
Hapa sio pake.
Anawwza kuwa msomi na asiiweze familiaMwanaume ndio kichwa na ndio boss wa familia ndio maana inashauriwa awe na msomi zaid ya mkewe. So nadhan mwanzisha mada yupo sawa
Nipo ila uwe tayar kupima hivUwe mchangamfu
Uwe na akili ya maisha,namaanisha mfano hata kama sio msomi wa degree unaweza piga mission unapata hela.
Ujue kutafuta hela
Ujipende.uwe smart kimuonekano na kiakili
Uwe na upendo wa kweli,usiwe mbinafsi,uwe unajali
Uwe unajiamini na kusimama kama mwanaume.
Kimuonekano uwe mrefu kuanzia futi 5 kuendelea.
Mimi binti wa kawaida tu,sio mzuri sana
Sina pesa
Elimu ya kawaida
Mkristo
Mrefu 5 ft
Kama unajijua bado uko kwenye harakati zako za umalaya tafadhali usije.kwa heshima zote naomba usije.
Hapa sio pake.
umenikumbusha kule kwetu makwasukwasu Ni vitunguu vyenye thamani ya chini kabisaa baada ya vile vizur kuchambuliwa
Huku hakuna wazee wa makwasukwasu..... Nenda fb
Ni hakikishie kama hutaniteka nikikupa namba yangu ya simu..Uwe mchangamfu
Uwe na akili ya maisha,namaanisha mfano hata kama sio msomi wa degree unaweza piga mission unapata hela.
Ujue kutafuta hela
Ujipende.uwe smart kimuonekano na kiakili
Uwe na upendo wa kweli,usiwe mbinafsi,uwe unajali
Uwe unajiamini na kusimama kama mwanaume.
Kimuonekano uwe mrefu kuanzia futi 5 kuendelea.
Mimi binti wa kawaida tu,sio mzuri sana
Sina pesa
Elimu ya kawaida
Mkristo
Mrefu 5 ft
Kama unajijua bado uko kwenye harakati zako za umalaya tafadhali usije.kwa heshima zote naomba usije.
Hapa sio pake.
Nina 6.8 je naruhusiwa au?Uwe mchangamfu
Uwe na akili ya maisha,namaanisha mfano hata kama sio msomi wa degree unaweza piga mission unapata hela.
Ujue kutafuta hela
Ujipende.uwe smart kimuonekano na kiakili
Uwe na upendo wa kweli,usiwe mbinafsi,uwe unajali
Uwe unajiamini na kusimama kama mwanaume.
Kimuonekano uwe mrefu kuanzia futi 5 kuendelea.
Mimi binti wa kawaida tu,sio mzuri sana
Sina pesa
Elimu ya kawaida
Mkristo
Mrefu 5 ft
Kama unajijua bado uko kwenye harakati zako za umalaya tafadhali usije.kwa heshima zote naomba usije.
Hapa sio pake.