FYANGUFYOSA
Member
- Dec 18, 2012
- 8
- 2
wana jf habari zenu? natumaini mnafikiri mambo mengi sana juu ya kuwasaidia wa tz wenzetu ili kupunguza ama kuondoa kabisa matatizo yanayowakabili.
mimi nategemea kuwa baba hivi karibuni. mke wangu ni mja mzito wa miezi saba na wiki tatu, anasumbuliwa na tatizo la vidole vya mikononi kupata ganzi na pia miguu inavimba sana. tumeenda hospitali mara nyingi tumeambiwa kuwa hiyo ni hali ya kawaida kwa waja wazito. sasa nahitaji nipate kujua kutoka kwa wana jf (great thinkers) ni nini sababu ya matatizo haya na kwanini inatokea kwa wengine na wanawake wengine haiwatokei.
samahani, nahitaji majibu yenye sababu za kisayansi,
jibu la kwamba ni hali ya kawaida nimeishapewa so ukiniletea hilo utakuwa bado hujanisaidia.
mimi nategemea kuwa baba hivi karibuni. mke wangu ni mja mzito wa miezi saba na wiki tatu, anasumbuliwa na tatizo la vidole vya mikononi kupata ganzi na pia miguu inavimba sana. tumeenda hospitali mara nyingi tumeambiwa kuwa hiyo ni hali ya kawaida kwa waja wazito. sasa nahitaji nipate kujua kutoka kwa wana jf (great thinkers) ni nini sababu ya matatizo haya na kwanini inatokea kwa wengine na wanawake wengine haiwatokei.
samahani, nahitaji majibu yenye sababu za kisayansi,
jibu la kwamba ni hali ya kawaida nimeishapewa so ukiniletea hilo utakuwa bado hujanisaidia.