Habarini wandungu,
Kuna mdogo wangu huwa anatengeneza bidhaa ndogo ndogo, kama biscuit, karanga za mayai, keki, kashata nk then anapeki vzr, na kuna supermarket moja imeshakubali kupokea bidhaa zake, ila wanataka ziwe na bar code ili ziweze kusoma kwenye vile vimashine vyao, mi sijui chochote kuhusiana na hilo!!
Je mnanisaidiaje wadau??
Kuna mdogo wangu huwa anatengeneza bidhaa ndogo ndogo, kama biscuit, karanga za mayai, keki, kashata nk then anapeki vzr, na kuna supermarket moja imeshakubali kupokea bidhaa zake, ila wanataka ziwe na bar code ili ziweze kusoma kwenye vile vimashine vyao, mi sijui chochote kuhusiana na hilo!!
Je mnanisaidiaje wadau??