Nahitaji msaada kuimarisha ndoa yangu

Na mimi nilikuwa nafikiri hivo hivo...wanene wana usingizi mwingi na wanalala popote hata katikati ya mazungumzo.

Kama mnene dawa ni zoezi na diet; ni kwa afya yake pia si kwa afya ya penzi peke yake.

 
Kama kuna doctor unamfahamu, siku akienda hospital mwambie amtishe kuwa anakaribia kufa kama hatapungua...Maana watu wengi ni wagumu kukubali kupunguza weight mpaka watishiwe maisha. Na wanakuja kuanza diet na mazoezi baada ya kuwa na magonjwa which is too late.



 
Nauongana na Roulette. Ila hyo ya we tanua paje aiseeeee hatari si anaweza akatokelezea mtu yeyote akatanua yeye akajua ni wewe kumbe mbakaji?
 
Last edited by a moderator:
isije kuwa ni 'chronic depression'

watu wenye chronic depression huwa wanalala lala saana
 
Lakini sio vizuri kuleta dhihaka Kwenye vitu Kama hivi.

Dhihaka yanini na gomba limefanyiwa utafiti na kuonesha kuwa linapoteza usingizi na linaongeza matamanio ya kufanya.

Hiyo ni dawa ya uhakika niliyompa na sitanii. Usione hapa kwetu kaipiga marufuku Mrema kwa ujinga wake, Kenya ni zao kubwa hilo, wana export mpaka Europe, India na kwingineko. Soma hizi link ujionee mwenyewe, sitanii kabisa:

Kenya Miraa- Exporters of fresh Kenyan Miraa-kangeta-kisa-khat-veve-ngomba

Case Study
 
Last edited by a moderator:

labda ndo mke wake
 
Pole sana inaelekea mkeo ana ugonjwa ambao unamfanya saa zote awe analala. Nendeni hospitali mkaongee na wataalamu labda wanaweza kuwashauri nini cha kufanya au dawa za kumpa kuepukana na huo usingizi usiokwisha (labda ugonjwa wake huu una uhusiano na ugonjwa wa malale ambao unasababishwa na kuumwa na mbung'o) . Huu ushauri aliokupa wa wewe kuendelea na raha zako hata kama yeye amelala wala usiufuate. Kwanza hakuna raha ya kufanya hivyo ikiwa yeye ameuchapa usingizi halafu inakuwa kama unambaka vile pamoja na kuwa amekupa ruhusa ya kuendelea. Pole sana.

 
Ushauri wa Roulette unahusika sana as long umesema ana Kg 100 kwa umri wa 38..vp urefu wake???
 
Last edited by a moderator:
pole bro.ndoa zinachangamoto nyingi sana,Mungu akusaidie
 
Na mimi nilikuwa nafikiri hivo hivo...wanene wana usingizi mwingi na wanalala popote hata katikati ya mazungumzo.

Kama mnene dawa ni zoezi na diet; ni kwa afya yake pia si kwa afya ya penzi peke yake.
nyumba kubwa ungeniona ninavyocheka peke yangu hapo kwenye RED. Nakumbuka kipindi fulani nilikuwa bonge, hapo nilikuwa tu ndo nimemaliza form4, si unajua maugali ya bording. yaani kile kipindi nilikuwa nalala sana, ningekuwa nimeolewa nadhani mume naye angelalamika sana.
Ila jingine pia labda anachoka sana, ajaribu kucheza naye mida ya asubuhi hasa siku ambazo hawaende kazini asubuhi, yaani amwache alale usingizi wooote, akiamka tu anaanza naye aone kama atasinzi katikati
 
Last edited by a moderator:
Duhh! Wa kawaida kweli? Labda mkeo ni jini coz inaonekana hajali kabisa hisia zako!
Hebu fikiria anakwambia akilala uingize!!!!! Sa utakuwa unatia mtu maiti? Samahani lakini Kama nitakuwa nimekukwaza!
 

Duhh kumbe we ni Wa jinsia ya KE?
 
Last edited by a moderator:
Afu jamaa anasema mke wake ana enjoy game...ana enjoy vipi wakati ikija kwenye kuchagua game au usingizi anachagua usingizi? Aiingii akilini...yani endelea kujisevia mi nalala. Contradiction. Kha.


Duhh! Wa kawaida kweli? Labda mkeo ni jini coz inaonekana hajali kabisa hisia zako!
Hebu fikiria anakwambia akilala uingize!!!!! Sa utakuwa unatia mtu maiti? Samahani lakini Kama nitakuwa nimekukwaza!
 

From my experience:
Fanya maombi kama wewe unamuamini Yesu Kristo, au akaombewe. Mpeleke hospital
 
Mbona umejiita dogo 1 alafu kumbe una mke? Dawa yake akisinzia kama utakuwa unahitaji we panua mapaja anza kulamba kinembe chake uone kama ataendelea na usingizi wake labda awe Teja"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…