Nahitaji msaada kutoka kwa anayetumia ADVCASH

Nahitaji msaada kutoka kwa anayetumia ADVCASH

khalee206

Member
Joined
Apr 15, 2018
Posts
12
Reaction score
4
kwa anae tumia ADVCASH ...ukishajiunga kuna sehem 3 za kujaza ile ya pili wanadai baadh ya vitu flani flani hivi ila kwangu nimeona nafuu barua ya utamburisho kutoka bank but nilipoenda bank kuomba hiyo barua ..wakaniuliza nataka kufanyia nini?baada ya kuwaeleza wakasema hawajui kuhusu ADVCASH...so nimekosa kupata hiyo barua naombeni msaada kwa mtu mwenye nayo ambae alishawahi kujiunga na hiyo huduma au mwenye uwezo wa kunielekeza jinsi ya kuipata...
 
kwa anae tumia ADVCASH ...ukishajiunga kuna sehem 3 za kujaza ile ya pili wanadai baadh ya vitu flani flani hivi ila kwangu nimeona nafuu barua ya utamburisho kutoka bank but nilipoenda bank kuomba hiyo barua ..wakaniuliza nataka kufanyia nini?baada ya kuwaeleza wakasema hawajui kuhusu ADVCASH...so nimekosa kupata hiyo barua naombeni msaada kwa mtu mwenye nayo ambae alishawahi kujiunga na hiyo huduma au mwenye uwezo wa kunielekeza jinsi ya kuipata...
advcash ndio nini mkuu
 
Back
Top Bottom