Nahitaji msaada toka kwenu wataalamu na mafreelancer

Nahitaji msaada toka kwenu wataalamu na mafreelancer

okiwira

JF-Expert Member
Joined
Jul 23, 2018
Posts
2,856
Reaction score
3,003
Kuna DOGO kamaliza form4 hivyo nataka nimwezeshe biashara ya kuuza vifurushi vya dk,mb,sms vya mitandao yoote na kuuza LUKUU ya umeme visiwe vya kukwangua vocha Bali kutumia mashine (SIJUI NI MASHINE GANI INAFAA)
Pia awe analipia ving'amuzi.

Pia awe anasajili laini (SIJUI NI MASHINE GANI INASAJILI LAINI ZOTE?)

Sehemu aliyoopo ina uhitaji wa huduma hiyo.

Msaada wenu anahitaji kuzijua machine hizo majina na bei zake zikiwa mpya toka dukani.
 
Unataka kuweka huduma za kifedha kama TigoPesa ,M-Pesa,Airtel Money nk. Sio.??

Kama ni vifurushi tu bora umuache ajitafute tu mtaani.

Zipo machine za Selcom mpya inauzwa 300k lakini ili wakuuzie lazima uwe na mtaji wa kuanzia 200k ambao wanakuekea kama flot baada ya kuinunua,so nenda na 500k.

Ila hawa commission yao ni ya kipuuzi ndo maana Mawakala wengi wakiuza umeme wanakata 200 .

Machine nyingine ni hizi za Kibenki.
 
Back
Top Bottom