Watumishi hao, mama kawaambia jambo lao mwezi hujao halafu unakuta wameongezewa elfu kumi tu.Mnateseka sana
Je, unayo copy ya mkataba wa mkopo kuthibitisha hayo, yaani kiasi cha mkopo, muda wa mkopo na makato kwa mwezi?Nilichukua mkopo bank x wa 3,200,000 kwa muda wa miaka 3(miezi 36) mkataba nilisaini hivo.
Makato yalikuwa 114,000
Je, unayo copy ya mkataba wa mkopo kuthibitisha hayo?
Na Mimi pia naomba kuijua hio bank inaitwaje?Mimi naomba kujuwa jina la benki tu.
Nenda mahakamani, wao wasingekuwacha.Habari wajuvi wa Sheria
Naomba msaada wako wa kisheria
Nilichukua mkopo bank x wa 3,200,000 kwa muda wa miaka 3(miezi 36) mkataba nilisaini hivo.
Makato yalikuwa 114,000
Nimelipa kwa miezi 35 kiasi hiko.
Mwezi wa 36 nikakatwa Ths.65,000...badala ya kumaliza likajitokeza deni jipya la 1,500,000 kwa makato ya tsh.65,000 kwa mwezi.
Kwenda kuuliza bank wanasema mkataba unaonesha ni wa miaka 7.
Wanasema makosa yametokea kwa upande wao badala ya kuweka miaka 3 wakaweka 7.
Sasa wamenikata zaidi ya miezi minne bila kushughulika na tatizo hilo kila siku kalenda.
Naomba msaada wa kisheria nini cha kufanya kudai madai/Fidia.
Kama ni fidia nianze hatua zipi?
Ufunguaji wa kesi ya namna hii upoje?
Mimi mtumishi wa serikali.
Ahsante.
Aweke hapa pia hio copy kwa msaada zaidiJe, unayo copy ya mkataba wa mkopo kuthibitisha hayo, yaani kiasi cha mkopo, muda wa mkopo na makato kwa mwezi?
Sijaona kituKila kitu kipo mkuu
ShukraniMnateseka sana, majibu yapo hapo hapo Bank, sema nyie mkiendaga huwa mnasikiliza tu hamhoji, rudi, ongea na kila mtu, manager, floor manager, anyone
Huu ukondoo wa Kitanzania ni wa hovyo sana, hatuna tabia za kuhoji, kama bank imekosea how ks that my fault, pambana.
Wakati unaongea nao una wa record, weka kumbukumbua, elekea mahakamani, mkataba wako unasema miaka mingapi? Si unao huo mkataba?
Mkataba unasemaje? Mkopo ni wa mda gani? Anzia hapa, kama umekiukwa unaomba ushauri gani, nenda kwa manager, hoji, asiposikiliza, nenda mahakaman, ila najua kama wao wana makosa atasikiliza.
Yani ina maana level zote za auditing kwa miezi 36 hazikuyaona hayo makosa? Ngumu sana kuamini hii hadithi.