Nahitaji msaada wa haraka

kayaman

JF-Expert Member
Joined
Aug 3, 2013
Posts
4,516
Reaction score
10,423
Ndugu zangu nahitaji ushauri wenu wa kitaalam mke wangu hajaziona siku zake (kuingia bleed) kwa miezi miwili sasa, mara ya mwisho ilikua tar 20 Jan tulipia kwa kipimo cha kununua tukihisi labda ana mimba ila haikuwepo tukaamua kwenda kupima hospital nako hatukukuta mimba, tunapata wasiwasi labda ni tatizo naombeni ushauri kwa mwenye uzoefu wa hali kama hii.....
Asante!
 
Huwa inatokea, sio tatizo kwa wanawake.pengine ni kutokana na stress,mazingira na sababu nyingine kama hizo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…