Mfukoni nina kama laki na nusu nataka kuanzisha biashara ya duka kubwa la kuuza jumlajumla.
What to do here ?
Mfukoni nina kama laki na nusu nataka kuanzisha biashara ya duka kubwa la kuuza jumlajumla.
What to do here ?
usihofu wala kuteteleka, thibiti lengo lako biashara ni wazo = idea wala hata kidogo sio mtaji wa mipesa kama waliowengi wadhaniavyo, hakika ndoto yako itatimia, anza na hicho ulichonacho uwelewa, uzoefu, network, n.k kama uko dar nitafute.
elfu 10 panga chumba cha giza elfu 15, nunua pafyumu kali elfu 5, vifuko vya salfeti vitano, elfu 40 pikpik ya kukodi 60 iliobaki njoo nkuelekeze sehemu ukachukue bange kuna jamaa yangu anavuna maana hmna jinsi baada ya mwaka unakua na mtaji wa kusafirisha na mikoa mingine