Daktari! (Utanisamehe kama wewe ni kati ya wapuuzi wa kujiita Dr wakati hujakisomea), ingawa mimi siyo Mwanasheria, lakini nina uzoefu na hili jambo. Kesi ya Madai ikihukumiwa na isipotekelezwa baada ya hukumu kwa muda fulani, hugeuka na kuwa ya jinai ambapo mdaiwa hukamatwa na kuswekwa lupango. Hata Diamond hiki kitu karibu kimtokeeKwa sheria ipi hii hii ya civil law na contract law acha bhasi labda kama kudaiwa huko kumesababishwa na jinai
Umeona nilichoandika hapo juu nimesema labda kama kudaiwa huko kumesabaishwa na jinai na itambulike kwamba Pale unapoweka ahadi na usiitimize na ulikuwa unaweza kuitimiza hizo sio madai tena ni Umeignore kutimiza sheria na ndo hapo Madai huwa Jinai...Daktari! (Utanisamehe kama wewe ni kati ya wapuuzi wa kujiita Dr wakati hujakisomea), ingawa mimi siyo Mwanasheria, lakini nina uzoefu na hili jambo. Kesi ya Madai ikihukumiwa na isipotekelezwa baada ya hukumu kwa muda fulani, hugeuka na kuwa ya jinai ambapo mdaiwa hukamatwa na kuswekwa lupango. Hata Diamond hiki kitu karibu kimtokee
Kitu hujui myamaza tuUmeona nilichoandika hapo juu nimesema labda kama kudaiwa huko kumesabaishwa na jinai na itambulike kwamba Pale unapoweka ahadi na usiitimize na ulikuwa unaweza kuitimiza hizo sio madai tena ni Umeignore kutimiza sheria na ndo hapo Madai huwa Jinai...
Lakini haiwi jinai bila kuchukua Sura ya jinai kamwe lazma iingie ujinai (Yaaani ivunje sheria za jinai ndo iitwe jinai vinginevyo kesi ya madai haiwezi kusabisha mtu akafungwa nakazia msimamo wangu)
NB: Jifunze kujadili kwa hoja bila personal Attack au Character assasination nafikir utakuwa bora Vingenevyo vutanifanya niamini alichosema Rais kwamba vijana wa siku mmekosa maadili
Kuna vitu kama hujui usidhani wote hawajui na hiinndo shida ya kuwa online wanahisi wote mko sawa ....Kitu hujui myamaza tu
Habari JF ,
Mpwa wangu ni Mtumishi wa serikali , katika harakati zake za maisha ,Amekopa taasisi mbili tofauti za ukopeshaji pesa kwa watumishi.
Dhamana ya mkopo wake ni mshahara ambapo kwa maelezo wanaacha kadi ya benk akaunt ya mshahara.
Kampuni moja inamdai 1,600,000 na nyingine 1,400,000 , Kilichotokea alikopa sehemu ya kwanza akaacha kadi , baadae kadi ikawa expired , akaitwa abadilishe , akatumia nafasi hiyo kwenda kukopa taasisi nyingine.
Sasa ya hii ya kwanza wamemshataki polis na aliwekwa lockup na nilienda kumtoa wiki iliyopita , na kukubaliana alipe hiyo pesa ,
Tumeenda taasisi ya pili hawataki kumlipia hili deni , na mshahara wake ni mdogo hauwez kugawanyw kwenda sehem zote.
Polisi anatusumbua sana , na anatak amkamate amweke ndani ,
Ndugu zangu naomba msaada kwenye hili shauri , Anatokaje huyu mwanangu , ukizingatia hana pesa , tumepambana hakuna kitu , Msaada tafadhali wa kisheria hapa. Ukizingatia ni mtumishi , anatokaje salama?
Hamuijui tu pesa x nyieHuyo Mpwa wako ndio wewe mwenyewe,
Dawa ya deni ni kulipa,unataka ushauri wa kukwepa deni?
Maisha hayajawahi kua rahisi kihivyo,tafuta hela ukalipe deni lako,
Hapa JF utapata kila aina ya maelezo But at the end ni deni lilipwe tu that's all.
Hapo ndio umetaka kusema nini sasa?Hamuijui tu pesa x nyie
Mdaiwa hafungwi.... misemo ya kiswahiliHabari JF ,
Mpwa wangu ni Mtumishi wa serikali , katika harakati zake za maisha ,Amekopa taasisi mbili tofauti za ukopeshaji pesa kwa watumishi.
Dhamana ya mkopo wake ni mshahara ambapo kwa maelezo wanaacha kadi ya benk akaunt ya mshahara.
Kampuni moja inamdai 1,600,000 na nyingine 1,400,000 , Kilichotokea alikopa sehemu ya kwanza akaacha kadi , baadae kadi ikawa expired , akaitwa abadilishe , akatumia nafasi hiyo kwenda kukopa taasisi nyingine.
Sasa ya hii ya kwanza wamemshataki polis na aliwekwa lockup na nilienda kumtoa wiki iliyopita , na kukubaliana alipe hiyo pesa ,
Tumeenda taasisi ya pili hawataki kumlipia hili deni , na mshahara wake ni mdogo hauwez kugawanyw kwenda sehem zote.
Polisi anatusumbua sana , na anatak amkamate amweke ndani ,
Ndugu zangu naomba msaada kwenye hili shauri , Anatokaje huyu mwanangu , ukizingatia hana pesa , tumepambana hakuna kitu , Msaada tafadhali wa kisheria hapa. Ukizingatia ni mtumishi , anatokaje salama?
Kwamba unawafahamu wakopeshaji wanaoitwa pesa x?Hapo ndio umetaka kusema nini sasa?
Unapenda ligi tu. Suala lilikuwa ni deni halimfungi mtu. Nikasema si sawa. Hapo juu umezungumza nini sasa? Au ndugu yetu unasoma kama kasuku hiyo sheria? Kwanza hukueleza kuwa anapopelekwa (mdaiwa aliyekaidi amri ya mahakama), anatakiwa kuwekewa mazingira, huko gerezani sawa na maisha yake ya kila siku. Kama huwa anaangalia TV ya inchi 120 lazima mdai ahakikishe inawekwa gerezani: kama anakula pilau kila siku, mdai anatakiwa agharamie hiyo pilau gerezani. Hapo ndipo huwa mdaiwa huwa anachomoka na kifungo husika. Upo hapoKuna vitu kama hujui usidhani wote hawajui na hiinndo shida ya kuwa online wanahisi wote mko sawa ....
OK Sawa kama utapata muda Nenda pitia Sheria ya mwenendo wa mashauri Ya madai...
sas kwa mfano umepelekwa Mahakamani kwa kesi ya madai ya fedha fulani na mahakama ikahukumu kuwa unapaswa kulipa deni hilo kwa muda fulani l,Kitendo cha kukaidi kulipa deni hilo huchukua sura mpya ya kisheria ambayo ni kukaidi amri ya mahakama na hali hii ya kisheria sio madai tena bali ni jinai n inatakiwa ukamatwe au mali zako zikamatwe.....Sasa kifungu cha 44 (1) cha sheria Ya mwenendo wa mashauri ya jinai kinasema mdaiwa anaweza kukamatwa kwa muda wa siku yoyote kama atashindwa kufata amri ya mahakama
Na akikamatwa akafungwa Deni litakuwa limeisha? jibu ni No;kifungu cha 46 kinaeleza kuwa Utafungwa ukimaliza kifungo deni linaendelea pale pale kwa sababi kilichokufunga sio Deni ni ukaidi
Sasa siku nyingine uwe unajua sio kila mtu anayejibu anajua na sio kila mtu asiyejibu hajui Shida kubwa ya vijana ni Akili mnakosa sana na hekima mmeipoteza...Kilichomi kichwani ni Nywele na maji kwwnye ubongo tu akili hamna
Kwenye uchumi debt servicing ni option pia.Ukishaona umekopa kiasi kikubwa cha fedha na ukashindwa kurejesha acha tabia ya kutafuta mkopo mwingine ili ulipie ule wa awali, huwezi kutoka shimoni kwa kuendelea kuchimba shimo. Mikopo inasaidia ila kuna muda n mibaya sana hasa hii yenye riba kubwa.
Hiyo ndo njia peke hamna micro finance inao taka kuenda mahakamani ata iwe benki wanaogopa gharama na sheria nyingi wanazo ruka, kwa hiyo asiogope kukaa cell kwa mda mwezi au mwezi miwili.Kama kweli hana uwezo mwambie aende Police, akae ndani, angoje, apelekwe mahakamani.
Ataponea mahakaman, mahali pekee pa kuponea kwenye haya maisha ni mahakamani.
Ninajua hayo nakampuni ya mkopo yanakuwaga na makosa kibao, hawataweza.
Asiogipe kuwekwa ndani, akae tu, baasa ya mda watamuachia tu bila shida yeyote.
Ila ndugu yako naye ni mdanganyifu, maisha wakati mwingine ni magumu, ila uaminifu mzuri.
Leta mkeka tumsaidieHela hakuna , tumepambana hakun kitu