Nahitaji msaada wa kisheria juu ya hii kesi

Ila jamaa yako mbona kazingua mwenyewe, maana alichofanya ni sawa na umekopea hati ya nyumba halafu unaenda kutengeneza tena hati nyingine ya nyumba ile ile unakopa kwingine (utapeli), halafu alipokuwa anakopa huko sehemu ya pili alikuwa anategemea nini akijua kuwa mshahara wake hauwezi kuhudumia madeni mawili???
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…