mwenye shamba
JF-Expert Member
- May 31, 2015
- 978
- 1,766
Kaka sijamkula wala kuwaza tu hizo mambo ,hapo Nikua alikua anatumia namba ngeni napia namba ambazo zilikua anaitumia nnazo kwa maswala ya kiusalama zaidi ndio maana nimekuja hapa kuomba ushauri .jambo nizito sanaMke wa diwani namba yake inafanya nini kwenye simu Yako nyoosha maelezo kama unamkula au la tukushauri.
Kuondoka nnaondoka ila sasa kesi hiii nnaifatiliaje katika ngazi za kisheria mkuu maana nahisi kudhulumiwa nakuonewa kwa kutungiwa uongo kinachoniuma zaidi nikuzidi kuwaona watesi wangu wakila Bata mtaani hadi nahisi hivi hivi Tanzania au niko nchi za nje,how come mtu afanye tukio kubwa(mhalifu) halafu anaendelea kula maisha halafu mm nikiyetishiwa maisha ndio niishi kwa wasiwasiKuna muda kwenye maisha usalama wa uhai wako ni bora kuliko chochote kile.
Kazi utapata nyingine, sio uhai.
Fungasha virago uondoke ndugu.
Nimekusoma mkuu,sina mazoea ya kijinga ila ucheshi kwakweli unaniponaza namikoa yahuku yaani kusingiziwa suala la ugoni nikama vile tija sana maana inaonekana kama wanakupaka mavi hiviMazoea mazoea na MKE wa mtu yatakatisha maisha yako nenda kazin fanya kazi Rudi nyumban acha mazoea ya kijinga
Hapa nifanyeje nduguyngu maana nazidi kuchanganyikiwa ,ushauri namba moja ni kuhama hapa kwenda SEHEMU ingine of which nimeupokea kwa mikono miwili ,ila sasa tukio nililotengenezewa nilauongo malenye chuki binafsi .....kwa mara ya kwanza nimeanza kuhusu kwenda kwa mgangaKama una namba ya mke wa mheshimiwa diwani uwezekano wa kumtomber huyo mke wa mheshimiwa ni mkubwa.BULUGU nakusihi,hama nyege zisisababishe tupeleke maiti ng'wanza.NCHI HII UKITAFUTA HAKI UTAIPATA UKIWA UNALIWA NA BAKTERIA
Unataka ushauri wa kisheria pekee pasipo gharama ama upo tayari kuingia gharama ili mwanasheria alibebe hilo suala lako naamini kama kuna ushahidi wa voice note nakadhalika unaenda kushinda kesi na fidia utalipwa.Sikumuona ila waliowaona wanasimulia kua walitumwa na diwani kuja kuniua kwa kunichoma kwa moto.na voice notes zipo nawashaenda kuhojiwa ila nashangaa wapo tu mtaani wanakula maisha kusema ukweli nishaenda kuomba kuhamia SEHEMU ingine kwa DMO
RIP MAGUFULI. POLE SANA KAKA MUNGU AKULINDEMm nimtumishi wa umma katika idara ya afya, miezi sita nyuma nilihamia katika kata moja maeneo ya mkoa wa lindi kutumikia wananchi.
Sasa katika utoaji wa huduma eneo nilipangiwa kikazi kama incharge wakituo husika, huduma zikapendwa nawananchi kiasi cha kupelekea kushuka mapato katika moja ya duka ladawa la mtubinafsi lililokaribu na eneo langu la kazi.
Jambo ambalo lilipelekea chuki kwa bwana huyo kuwepo dhidi yangu, huyo bwana akanitengenezea scandle yakua nnatembea na mke wa diwani jambo ambalo sikuwahi kulifanya wala kujihusisha nalo, ilikua mwezi wapili tr10/02/2024 nakumbuka ilikua mechi ya Afcon mshindi wa tatu kati ya Kongo drc na south Africa.
Baada ya mechi nikarudi kulala majira kama ya sasita kabla usingizi haujanikamata vyema niliona moto mkubwa uliowashwa kwa mafuta ya petrol uliowashwa kwenye dirisha la chumba changu, na NONDO yenye lengo la kunichoma ila nikapiga kelele na kuwahi kuzima moto ,kisha kuamsha majirani baadae watu wengi wakakusanyika kwenye eneo la tukio, asubuhi ya tr 11/02/24 police walikuja pamoja na uongozi wa kata kuchukua maelezo na pia kufanya mkutano na wananchi.
Kwasasa suala hilo baada ya mm mwenyewe kulipeleka police kumekua na mazingira ya mdororo wa shauri langu huko police,naona kama wahusika wametoa rushwa ikiwa ni pamoja na kuwaona watuhumiwa wakidhurula tu mtaani bila ya kukamatwa nakwamba jambo langu linaonekana kutotiliwa nguvu.
Nimejaribu kwenda kwa mkuu wa kituo OCS anaonekana kunikalipia nakuniambia kua mnazingua nnaleta Majungu sasa naona kabisa suala hili ambalo nadhani nijaribio la mauaji dhidi yangu,nifanye hatua gani kuweza kupata haki yangu.
Naomba nisamehewe kwa uandishi mbovu.
Mzee achana na haki kwanza uko ugenini usijifanye kichwa ngumu.umeenda kwa mganga kufanyeje?Hapa nifanyeje nduguyngu maana nazidi kuchanganyikiwa ,ushauri namba moja ni kuhama hapa kwenda SEHEMU ingine of which nimeupokea kwa mikono miwili ,ila sasa tukio nililotengenezewa nilauongo malenye chuki binafsi .....kwa mara ya kwanza nimeanza kuhusu kwenda kwa mganga
Umri wako Bado Sio mkubwa sana nakushauri kama Mjomba,Kaka,baba na hata Rafiki yako au hata Kada mwenzko wa afya..Mm nimtumishi wa umma katika idara ya afya, miezi sita nyuma nilihamia katika kata moja maeneo ya mkoa wa lindi kutumikia wananchi.
Sasa katika utoaji wa huduma eneo nilipangiwa kikazi kama incharge wakituo husika, huduma zikapendwa nawananchi kiasi cha kupelekea kushuka mapato katika moja ya duka ladawa la mtubinafsi lililokaribu na eneo langu la kazi.
Jambo ambalo lilipelekea chuki kwa bwana huyo kuwepo dhidi yangu, huyo bwana akanitengenezea scandle yakua nnatembea na mke wa diwani jambo ambalo sikuwahi kulifanya wala kujihusisha nalo, ilikua mwezi wapili tr10/02/2024 nakumbuka ilikua mechi ya Afcon mshindi wa tatu kati ya Kongo drc na south Africa.
Baada ya mechi nikarudi kulala majira kama ya sasita kabla usingizi haujanikamata vyema niliona moto mkubwa uliowashwa kwa mafuta ya petrol uliowashwa kwenye dirisha la chumba changu, na NONDO yenye lengo la kunichoma ila nikapiga kelele na kuwahi kuzima moto ,kisha kuamsha majirani baadae watu wengi wakakusanyika kwenye eneo la tukio, asubuhi ya tr 11/02/24 police walikuja pamoja na uongozi wa kata kuchukua maelezo na pia kufanya mkutano na wananchi.
Kwasasa suala hilo baada ya mm mwenyewe kulipeleka police kumekua na mazingira ya mdororo wa shauri langu huko police,naona kama wahusika wametoa rushwa ikiwa ni pamoja na kuwaona watuhumiwa wakidhurula tu mtaani bila ya kukamatwa nakwamba jambo langu linaonekana kutotiliwa nguvu.
Nimejaribu kwenda kwa mkuu wa kituo OCS anaonekana kunikalipia nakuniambia kua mnazingua nnaleta Majungu sasa naona kabisa suala hili ambalo nadhani nijaribio la mauaji dhidi yangu,nifanye hatua gani kuweza kupata haki yangu.
Naomba nisamehewe kwa uandishi mbovu.
Kama haujatenda Mungu yupo upande wako.Kaka sijamkula wala kuwaza tu hizo mambo ,hapo Nikua alikua anatumia namba ngeni napia namba ambazo zilikua anaitumia nnazo kwa maswala ya kiusalama zaidi ndio maana nimekuja hapa kuomba ushauri .jambo nizito sana
Asante sana aidha namba za simu zilizotumika kufanya mawasiliano zipo namba za simu zilizokua zinawasilinaa namimi kabla ya tukio kunitahadharisha juu ya watu wabaya kuja kunidangia tukio zipo mkuuUnataka ushauri wa kisheria pekee pasipo gharama ama upo tayari kuingia gharama ili mwanasheria alibebe hilo suala lako naamini kama kuna ushahidi wa voice note nakadhalika unaenda kushinda kesi na fidia utalipwa.
Achana na makesi sijui kusaka haki we fanya uhame ndani ya mkoa,watu wa pwani Wana viwanda vya bifu hautowaweza ukiwaweza kisheria watakushinda kwa uchawi.Mke wake yuko upande wangu ila sasa kama unavyojua huenda akageuka labda kadri siku zinavyozidi kwenda mbele
Ni kweli i'm 31 near to celebrate my 32 birthday ...kuna jamaa mmoja nilikua nnamsimulia faragha hii inshu akanishauri the same as you ila sasa kwa upande wake alisema endapo haujafanya nakweli unakiri haujafanya komaa upate haki yako,ila kama umemto-m-mba kimbia mara moja,kusema ukweli mm sijafanya kabisa sina haja ya kuficha hapa ndio maana roho inaniuma , nahili nitukio lakutengeeneza kufuatia kudorola kwa mapato katika pharmacy yajamaa aliyekua anahudumu pale kijijini kabla ya ujio wangu katika kile kituo kwayo mm ndio kama nekua barrier yayy kuuza dukani kwake badala yake wagonjwa wanakuja kituo cha afya/zahanati kupata hudumaUmri wako Bado Sio mkubwa sana nakushauri kama Mjomba,Kaka,baba na hata Rafiki yako au hata Kada mwenzko wa afya..
Mikoa ya pwani Ina chokochoko sana na nakubali hiyo maana nimeishi mikoa ya pwani karibu yote na nawajua vizuri ila kuna mashaka nayapata kuhusu Hadithi yako na Mke wa Diwani..
Kwa ninavyojua Mtu husingiziwa au Husambaziwa kitu ambacho kina uhalisia au kina karibiana na uhalisia kwa hiyo kikichanganywa na uongo ni vigumu kujua Ukweli upi na uongo upi....
VIjana wengi wa Bara Tukifika Pwani tunakuwa kama tumewekewa Pilipili tena kama tukiwa tunajua kuwa tuna kijinafasi kwenye jamii bhasi tunaona ndo njiia mojawapo ya kukandamiza wengine...
Huenda ni kweli ulitembea na Mkewebila kujua kama ni mkewake omba radhi yaishe Kujimwambafai kwa Mikoa hiyo ya Lindi,mtwara na Tanga kunaweza kusababisha ukapata madhara makubwa sana....
Pia Mcheck DMO, Muambie kila kitu atakufanyia taratibu za uhamisho wa ndani ya halmashauri..
Kuwa muwazi kaka sisi mbona tumekaa pia huko huko miaka kadhaa kabla hatujakaa sehemu zingine
DMo nitamcheki aisรฉe nipate kuamsha hapa maana niko kwenye mazingira hatarishiUmri wako Bado Sio mkubwa sana nakushauri kama Mjomba,Kaka,baba na hata Rafiki yako au hata Kada mwenzko wa afya..
Mikoa ya pwani Ina chokochoko sana na nakubali hiyo maana nimeishi mikoa ya pwani karibu yote na nawajua vizuri ila kuna mashaka nayapata kuhusu Hadithi yako na Mke wa Diwani..
Kwa ninavyojua Mtu husingiziwa au Husambaziwa kitu ambacho kina uhalisia au kina karibiana na uhalisia kwa hiyo kikichanganywa na uongo ni vigumu kujua Ukweli upi na uongo upi....
VIjana wengi wa Bara Tukifika Pwani tunakuwa kama tumewekewa Pilipili tena kama tukiwa tunajua kuwa tuna kijinafasi kwenye jamii bhasi tunaona ndo njiia mojawapo ya kukandamiza wengine...
Huenda ni kweli ulitembea na Mkewebila kujua kama ni mkewake omba radhi yaishe Kujimwambafai kwa Mikoa hiyo ya Lindi,mtwara na Tanga kunaweza kusababisha ukapata madhara makubwa sana....
Pia Mcheck DMO, Muambie kila kitu atakufanyia taratibu za uhamisho wa ndani ya halmashauri..
Kuwa muwazi kaka sisi mbona tumekaa pia huko huko miaka kadhaa kabla hatujakaa sehemu zingine