bujaganoni
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 561
- 453
Habari wana jamvi...!
Ninaomba nitoe story fupi kisha mnipe msaada wa kisheria.
Kuna mdogo wangu alimpa mimba mwanafunzi wa kidato cha tano mwaka 2016. Lakini mwanafunzi huyo alimaliza darasa la saba mwaka 2008 na form four 2012. Baada ya hapo hakufaulu form four. Alienda kurudia tena kidato cha tatu 2014 akamaliza 2015 na penyew hakufaulu sawa sawa, ndipo akaenda private form five 2015.
Mwaka 2015 mtihani wa Mock wa hiyo shule alipata 0 na akashindwa kuendelea naasomo kulingana na taratibu za shule hiyo. Sasa mdogo wangu akakutana naye mtaani mwaka 2016 ambapo alikuwa ajiunge form six. Akawa kampa mimba. Sasa hivi wamekorofishana na msichana anamtishia kumpeleka mahakamani kwa kuwa alimtia mimba akiwa mwanafunzi. Kisheria imekaaje hapa?
Amepewa mimba akiwa na 22 years... na sasa ana 24 yrs... tafadhali naombeni msaada.
Ninaomba nitoe story fupi kisha mnipe msaada wa kisheria.
Kuna mdogo wangu alimpa mimba mwanafunzi wa kidato cha tano mwaka 2016. Lakini mwanafunzi huyo alimaliza darasa la saba mwaka 2008 na form four 2012. Baada ya hapo hakufaulu form four. Alienda kurudia tena kidato cha tatu 2014 akamaliza 2015 na penyew hakufaulu sawa sawa, ndipo akaenda private form five 2015.
Mwaka 2015 mtihani wa Mock wa hiyo shule alipata 0 na akashindwa kuendelea naasomo kulingana na taratibu za shule hiyo. Sasa mdogo wangu akakutana naye mtaani mwaka 2016 ambapo alikuwa ajiunge form six. Akawa kampa mimba. Sasa hivi wamekorofishana na msichana anamtishia kumpeleka mahakamani kwa kuwa alimtia mimba akiwa mwanafunzi. Kisheria imekaaje hapa?
Amepewa mimba akiwa na 22 years... na sasa ana 24 yrs... tafadhali naombeni msaada.