Nahitaji msaada wa kupata pete za ndoa

Ubumuntu

JF-Expert Member
Joined
Oct 21, 2010
Posts
14,345
Reaction score
10,885
Salaam wanaJF!

Naomba mwenye kufahamu wapi ninaweza kupata pete nzuri za ndoa. Natafuta pete za silver au white gold. Sasa sifahamu mahala pazuri na pa uhakika pa kupata pete izo.

Natanguliza shukrani za dhati kwa yeyote atakaenisaidia.
 
Nenda kariakoo mtaa wa mkunguni au indiragand kuna duka "Turkey Jewelers" wanauza kwa bei nzuri ni wataalam, dhahabu wanauza 55000 kwa grm na silver 35000
 
Nenda kariakoo mtaa wa mkunguni au indiragand kuna duka "Turkey Jewelers" wanauza kwa bei nzuri ni wataalam, dhahabu wanauza 55000 kwa grm na silver 35000



Asante sana mkuu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…