Wakuu kuna nyumba ya urithi iko maeneo mazuri hapa Jijini Dar es Salaam, mgao ni kupanga mimi pamoja na ndugu zangu wawili, na ni nyumba ya kuuza ni zaidi ya M 300, yaani million mia tatu.
Nahitaji Mwanasheria, naomba mwanasheria anicheki kwa 0713415537.