Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nature ya mzigo tuweze kukushauri plzHabari wadau!
Nina mzigo wangu mkubwa kidogo unataka kwenda Nakonde, Zambia. Je kuna transport er Kwa nisafirishia kutoka Dar mpaka Nakonde?
Msaada jamani
Duuh hapo nenda tu kariakoo kuna kampuni z usafirishaji ila kama ungeweza ungewapa dhaman posta mpka boda kisha hapo usingekosa gari ya kumalizia tripMashine ya kukandia unga,mixer.
Mbona umeuliza kwa hasira hivo mkuu??Uko wapi wewe?….Mimi Niko Tunduma nafanya clearing and forwarding hapa border ni check 0672673246 WhatsApp
Dili hilo unataka kumpiga pesa ya kufa mtuUko wapi wewe?….Mimi Niko Tunduma nafanya clearing and forwarding hapa border ni check 0672673246 WhatsApp
Mcheki bujibuji mzigo umefika huo ukishindwa rudi hapaMashine ya kukandia unga,mixer.
Vipi mkuu umepata wa kusafirisha? Mi Niko Tunduma na kampuni yetu ipo dar unaweza nicheki 0755340150Habari wadau!
Nina mzigo wangu mkubwa kidogo unataka kwenda Nakonde, Zambia. Je kuna transport er Kwa nisafirishia kutoka Dar mpaka Nakonde?
Msaada jamani
ni mzigo gani, uzito kiasi ganiHabari wadau!
Nina mzigo wangu mkubwa kidogo unataka kwenda Nakonde, Zambia. Je kuna transport er Kwa nisafirishia kutoka Dar mpaka Nakonde?
Msaada jamani
Rekebisha kauli yako, unajuwa JF ina members wangapi? Umetowa wapi hii methodology ya kusema members wengi humu ni wezi?Nenda Kariakoo au Jangwani nyuma ya kituo cha mwendokasi... Magari ni mengi saaaaaaaaaaana...
Acha kupenda vitonga,, nenda mwenyewe... Watu wa humu wengi ni wezi, usije kesho ukarudi unalialia...
Rekebisha kauli yako, unajuwa JF ina members wangapi? Umetowa wapi hii methodology ya kusema members wengi humu ni wezi?
Lugha sahihi ungesema kuna baadhi ya member wachache na siyo wengi.Mkuu wewe ni mkongwe sana humu,, nini kinafanya ushindwe kulijua na kuelewa nilichozungumza...
Tafsiri ya WENGI kwako inaanzia ngapi.??
Na uhakika na usalama wa mizigo upo!Nenda Kariakoo au Jangwani nyuma ya kituo cha mwendokasi... Magari ni mengi saaaaaaaaaaana...
Acha kupenda vitonga,, nenda mwenyewe... Watu wa humu wengi ni wezi, usije kesho ukarudi unalialia...