sasa mtoto wa miaka 17 ndo anajua mapenz kuzidi kaka yake wamiaka 21, ebu acha zengwe ww sema ukweli wats goin on sio kuchezea watu akili. miaka17 ndan ya jf ??????? nina mashaka kidogo apo. jiapange kwanza au fuata ushauri wa boss wa kutafuta wako nawe uolewe.