Nahitaji msaada wenu ninakaribia kupoteza files ambazo nimeyatunza miaka mingi sana

Nahitaji msaada wenu ninakaribia kupoteza files ambazo nimeyatunza miaka mingi sana

GuDume

JF-Expert Member
Joined
Jan 18, 2015
Posts
6,651
Reaction score
14,337
Wadau wa JamiiForums habari yenu,

Kuna files ambazo ni nyeti sana nilizi-ZIP na ku-Encrypt kwa password mwaka 2008-2009.

Bahati mbaya sana nimesahau Password yake tayari nimehangaika sana pasipo mafanikio kila "Password" nimejaribu.

Je, kuna mtu anaweza niambia nifanye nini? Maana nimejaribu kutumia Winzip na Winrar Password Remover hazijaweza kunisaidia.

NB: Ni madini muhimu sana kwa maendeleo ya Taifa hili.

Asanteni sana kwa msaada wenu.
 
una idea password ilikuwaje? namba ama maneno?, ulichanganya herufi kubwa na ndogo?, uliweka special charachter kama @#? etc pia kama unakumbuka ilikuwa na herufi ngapi mfano password ya gudume ina herufi 6

kama ilikuwa ni namba tu ama maneno tu jaribu kui brute force itachukua muda ila inawezekana. na sababu ni zamani encryption zao pia hazikuwa na nguvu sana, ila kama ulitumia encryption za kisasa na password zenye michanganyiko ya special charachter, no, herufi kubwa na ndogo itakuwa ngumu kupata.
 
Issue kama hizo zinavunjwa na software za forensic. Ambazo mara nyingi zinamilikiwa na taasisi zinazoshughulika na mambo ya cyber crime.

Jaribu ku google *Forensic software*
 
Kuzipata softwares za namna hiyo inakuwa issue sana.

Issue kama hizo zinavunjwa na software za forensic. Ambazo mara nyingi zinamilikiwa na taasisi zinazoshughulika na mambo ya cyber crime.

Jaribu ku google *Forensic software*
 
Inaweza kuwa ilikuwa na
1. Cap letters
2. Letters
3. Numbers

Hivyo vitu vitatu. Kwa special character sidhani. Nimejaribisha passwords nyingi sana zimekataa. Miaka yote hii toka 2010 najaribu kufungua inashindikana. Kwa hizi password removers sometimes mpaka inalala ina search but it come to fail.
 
Inaweza kuwa ilikuwa na
1. Cap letters
2. Letters
3. Numbers

Hivyo vitu vitatu. Kwa special character sidhani. Nimejaribisha passwords nyingi sana zimekataa. Miaka yote hii toka 2010 najaribu kufungua inashindikana. Kwa hizi password removers sometimes mpaka inalala ina search but it come to fail.
Kulala siku moja tu haitoshi hasa vile ugumu wa hio passowrd ulioisema, to be honest inaweza chukua hata miaka kama pc yako haina uwezo mzuri.
 
Wadau wa JamiiForums habari yenu,

Kuna files ambazo ni nyeti sana nilizi-ZIP na ku-Encrypt kwa password mwaka 2008-2009.

Bahati mbaya sana nimesahau Password yake tayari nimehangaika sana pasipo mafanikio kila "Password" nimejaribu.

Je, kuna mtu anaweza niambia nifanye nini? Maana nimejaribu kutumia Winzip na Winrar Password Remover hazijaweza kunisaidia.

NB: Ni madini muhimu sana kwa maendeleo ya Taifa hili.

Asanteni sana kwa msaada wenu.
Mimi mpaka leo niko naliangalia file languu hapa hata sielewiiii cha kufanyaa njia zote zime goma.
 
hivi haiwezekani ukamtumia mtu akalifungua?? lol... I guess umuone kigogo wa twitter ..lol
 
Redio ikiharibika unapeleka kwa fundi redio!
Kama hayo mafile ni ya muhimu sana andaa hela nenda kwenye vyuo vya maswala ya IT kawape kazi wakufungulie.
 
Redio ikiharibika unapeleka kwa fundi redio!
Kama hayo mafile ni ya muhimu sana andaa hela nenda kwenye vyuo vya maswala ya IT kawape kazi wakufungulie.
Kweli kabisa. Msaada usikwamie tu huku jf.
 
Wewe unaweza tumia app gani if you can help me.

Kulala siku moja tu haitoshi hasa vile ugumu wa hio passowrd ulioisema, to be honest inaweza chukua hata miaka kama pc yako haina uwezo mzuri.
 
Ukimtumia mtu kufungua atagundua siri zilizoko ndani yake. Maybe akilifungua tu umwondoe duniani.si vyema abaki.

hivi haiwezekani ukamtumia mtu akalifungua?? lol... I guess umuone kigogo wa twitter ..lol
 
Hapo maana ya kuweka password itakuwa imeondoka.

Redio ikiharibika unapeleka kwa fundi redio!
Kama hayo mafile ni ya muhimu sana andaa hela nenda kwenye vyuo vya maswala ya IT kawape kazi wakufungulie.
 
Hapo maana ya kuweka password itakuwa imeondoka.
Basi hakuna haja ya kuweka milango maana wavunja milango wapo!!😅

Mkuu watu wanahack mpaka system kubwakubwa huko na zina ulinzi wa maana.. ngoja nisiongeze mijineno ila naandika tu penye nia pana njia.
 
Back
Top Bottom