pastor muyamba
JF-Expert Member
- Nov 15, 2016
- 252
- 135
Wiki chache zilizopita ,x wangu mimba iliharibika na sasa mwezi umeisha bila kuziona siku zake ,je inawezekana ana ujauzito au niendelee kusubiri mabadiriko ya mwili Nawasilisha wapenzi
Goodnight to all
Goodnight to all