Nahitaji mshirika kuanzisha Mgahawa

Nahitaji mshirika kuanzisha Mgahawa

abby abdy

Member
Joined
Oct 26, 2018
Posts
42
Reaction score
40
Natafuta mtu ambaye ataweza endeleza pale nilipoishia, nilikua nataka kufungua mgahwa na nimenunua viti meza kabati na vyombo va kutumia na majiko ila nimekwama katika mtaji na hela ya kulipia eneo la bishara hivyo kama kuna mtu naweza kuja na kuweka hela yake katika kulipia eneo na mtaji

Mimi ntatoa vitu nilivonunua na tutafanya kazi wote nikiwa kama mfanyakazi kwa miezi 4 na kumsaidia nayeye anunue vitu vake. Max ya hela ya mtaji ni laki 1 na pesa ya pango inategemea na kodi na atapopata kuweka biashara.

Mimi nipo Dar Magomeni Maji ya Chai-0714914799
 
Natafuta mtu ambaye ataweza endeleza pale nlipoishia, nilikua natka kufungua mgahwa na nimenunua viti meza kabati na vyombo va kutumia na majiko ila nimekwama katika mtaji na el ya kulipia eneo la bishara.

Hivo kama kuna mtu naeza kuja na kueka ela yake katika kulipia eneo na mtaji mi mtatoa vitu nlivonunua na tukafanya kazi wote nkiwa kama mfanyakazi kwa miez 4 na kumsaidia nayeye anunue vitu vake. Max ya ela ya mtaji ni laki 1 na pesa yapango inategemea na kodi na atapopata kueka biashara.

Mimi nipo Dar, Magomeni, Mwembechai 0714914799
 
Natafta mtu ambae ataeweza endeleza pale nlipoishia ....nlikua natka kufungua mgahwa na nimenunua viti meza kabati na vyombo va kutumia na majiko ...ila nimekwama katika mtaji na el ya kulipia eneo la bishara ..

Hivo kama kuna mtu naeza kuj na kueka ela yake katika kulipia eneo na mtaji mi mtatoa vitu nlivonunua na tukafanya kazi wote nkiwa kama mfanyakazi kwa miez 4 na kumsaidia nayeye anunue vitu vake ....max ya ela ya mtaji ni laki 1 na pesa yapango inategemea na kodi na atapopata kueka biashara.....

Mimi nipo Dar Magomeni m.chai 0714914799
 
Natafuta mtu ambaye ataweza endeleza pale nilipoishia, nilikua nataka kufungua mgahwa na nimenunua viti meza kabati na vyombo va kutumia na majiko ila nimekwama katika mtaji na hela ya kulipia eneo la bishara hivyo kama kuna mtu naweza kuja na kuweka hela yake katika kulipia eneo na mtaji

Mimi ntatoa vitu nilivonunua na tutafanya kazi wote nikiwa kama mfanyakazi kwa miezi 4 na kumsaidia nayeye anunue vitu vake. Max ya hela ya mtaji ni laki 1 na pesa ya pango inategemea na kodi na atapopata kuweka biashara.

Mimi nipo Dar Magomeni Maji ya Chai-0714914799
Kila la khery bro.jamiiforums unaweza kuwa na idea nzuri ila watu wakaiona km scam kutokana dunia imebadilika sana watu tunaogopana kila mtu anamuon Mwenzie tapeli


Sent from my vivo 1907 using JamiiForums mobile app
 
Kila la khery bro.jamiiforums unaweza kuwa na idea nzuri ila watu wakaiona km scam kutokana dunia imebadilika sana watu tunaogopana kila mtu anamuon Mwenzie tapeli


Sent from my vivo 1907 using JamiiForums mobile app
Nikweli kabisa mkuu binafsi nashauku sana ya kufanya biashara na huyu ndugu tatizo naogopa kupingwa
 
Back
Top Bottom