B Butiyangu Senior Member Joined May 19, 2018 Posts 123 Reaction score 168 Aug 23, 2021 #1 Ndugu wanajanvi mimi ni mkazi wa DSM Kigamboni, nahitaji kupata mshirika ili tuweze kwa pamoja tufungue dispensery, mimi nitatoa eneo na majengo. Tuwasiliane kwa namba 0713851751
Ndugu wanajanvi mimi ni mkazi wa DSM Kigamboni, nahitaji kupata mshirika ili tuweze kwa pamoja tufungue dispensery, mimi nitatoa eneo na majengo. Tuwasiliane kwa namba 0713851751
Heater Senior Member Joined May 28, 2019 Posts 168 Reaction score 350 Aug 23, 2021 #2 nikuchangie neno sio pesa.... andiko lako halina mashiko ya kumshawishi mtu.... kwnn awekeze uko, una uhakika gn juu ya mrejesho wa pesa yake, makadirio mazima ya uwekezaji n kiasi gn (budget)... kwa andiko lako nyoka hawezi akatoka pangoni.....
nikuchangie neno sio pesa.... andiko lako halina mashiko ya kumshawishi mtu.... kwnn awekeze uko, una uhakika gn juu ya mrejesho wa pesa yake, makadirio mazima ya uwekezaji n kiasi gn (budget)... kwa andiko lako nyoka hawezi akatoka pangoni.....