Nahitaji msichana wa kujenga nae mahusiano

Dogo GSM

Member
Joined
Jul 31, 2021
Posts
65
Reaction score
91
Hallooo mambo vipi wadau wa jf,mimi ni kijana mwenye umri wa miaka 26 nahitaji msichana ataekuwa tayari tujenge uhusiano ili Mungu akijaalia nimuoe.

Awe tayari kupima afya.mimi naishi mkoa wa iringa na nipo kikazi huku.
NB😛icha ni id ya jf tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…