mmh!
Mie sio wa dini yake anayoitaka! na wala masharti ya dini siyawezi, lazima nigonge mdudu kila siku na lagaFursa hiyo.
Mie sio wa dini yake anayoitaka! na wala masharti ya dini siyawezi, lazima nigonge mdudu kila siku na laga
hahahahaha, niletee hata ya kitu iliyopigwa marufuku juzi kama unaweza kuipata sehemu imefichwa, najisikia kutoa lock kichwani muda huu wa kazi, hahahahahahaahaha[emoji23][emoji23]ngoja nilete ofa labda utanikubalia ila situmii laga.
hahahahaha, niletee hata ya kitu iliyopigwa marufuku juzi kama unaweza kuipata sehemu imefichwa, najisikia kutoa lock kichwani muda huu wa kazi, hahahahahahaahaha
hahahaha haya leta ambayo ni recommended hahahahahahaahHiyo hapana.
hahahaha haya leta ambayo ni recommended hahahahahahaah
hahahhhMie sio wa dini yake anayoitaka! na wala masharti ya dini siyawezi, lazima nigonge mdudu kila siku na laga
Changamkia ofa iyohahahhh
mm sio dini yake [emoji23] akikubali bomani sawaChangamkia ofa iyo
vipi unataka kunioaDuuuu !!#
Ohoooo!!!unataka jamaa akaokote bom.ok nenda kajaribu pale kimboka