Kina bashite hawatoisha kamweHujajibu swali nililokuuliza, umebwatuka tu maneno ambayo hayana maana kulingana na swali nililokuuliza!
Nimekuuliza hii segment ya love connect ipo kwa ajiri gani hapa JF?
Pia nipe sababu za msingi zinazokufanya uone mtu hawezi kupata mke humu.
Na hichi ndicho kitu pekee unachoweza kuandika kama response ya maswali niliyokuuliza?Kina bashite hawatoisha kamwe
Nina miaka 28, dini muislamu, kazi yangu ni mwalimu, nahitaji msichana wa kuoa awe na vigezo vifuatavyo awe muislam, awe na elimu kidato cha nne awe mweupe, wa asili siyo wa mkorogo awe hajazaa, umri asizid miaka 27, sichagui kazi awe nayo au awe mama wa nyumbani sawa tu, kwa aliye tayari ani pm.
Tafuta uliemuelewa humu alafu mfwate pm mweleze nia yako mlianzishe.anza na Numbisa kama tayari kaolewa nenda kwingine nakwingine mpaka upateNina miaka 28, dini muislamu, kazi yangu ni mwalimu, nahitaji msichana wa kuoa awe na vigezo vifuatavyo awe muislam, awe na elimu kidato cha nne awe mweupe, wa asili siyo wa mkorogo awe hajazaa, umri asizid miaka 27, sichagui kazi awe nayo au awe mama wa nyumbani sawa tu, kwa aliye tayari ani pm.
Weka cheti na mm niweke chetiNa hichi ndicho kitu pekee unachoweza kuandika kama response ya maswali niliyokuuliza?
Kweli wewe ni zaidi ya Bashite.
Udomo zege sio mpango pambanaNa hichi ndicho kitu pekee unachoweza kuandika kama response ya maswali niliyokuuliza?
Kweli wewe ni zaidi ya Bashite.
Naleta maombi sasa mm mwenyewe nitabadili dini uko tayari?Dini bana keshakosa sifa kwangu
Wewe kweli punguani hujui hata unachokimaanisha kwenye haya unayoandika.Weka cheti na mm niweke cheti
Nimekuuliza hii segment ya love connect tuna takiwa tupost nini?Udomo zege sio mpango pambana
Mimi ni punguani lakini nawagegeda watoto wazuri wengi tu kitaani wewe mjanja endelea kuleta mabandiko yako hapa jf huenda wakakuone a huruma ili uache kupiga magoli ya mkonoWewe kweli punguani hujui hata unachokimaanisha kwenye kwa haya unayoandika.
Vyeti vinahusiana vipi na huu mjadala hapa?
Neno "zaidi ya bashite" mimi nimelitumia kumaanisha wewe ni kilaza haswa sababu umeshindwa kujibu niliokuuliza.
Sijui nieleweshe ww unaejuaNimekuuliza hii segment ya love connect tuna takiwa tupost nini?
Kwanza unajua hata maana ya love connect?
Mimi ni punguani lakini nawagegeda watoto wazuri wengi tu kitaani wewe mjanja endelea kuleta mabandiko yako hapa jf huenda wakakuone a huruma ili uache kupiga magoli ya mkono
Naleta maombi sasa mm mwenyewe nitabadili dini uko tayari?
Kwaio umeambiwa humu ndo utapata msaada? wewe ndo unaonekana unaakili za kivulana kuja kulialia humu ili wadada wakuonee huruma. Udomo zege hautokusaidia pambana huko kazini kwako,mtaani kwako utawapata humu unaonekana punguani na mandevu yako kibao unasubiri slope WTFKumbe kweli ni punguani na maadamu umekiri mwenyewe basi sina tena haja ya kuendelea kubishana na punguani anaejisifia ujinga.
Tatizo ni utoto au akili za kivulana bado zinakusumbua na pengine siku ukijua Sio kila mtu ana muda wa kuwekeza kwenye mambo ya ovyo hili apate sifa za kipuuzi kama ulivyo wewe, basi hutathubutu tena kuja kutapika maneno ya kifedhuri kwenye mambo ambayo uhusiki nayo wala huna msaada wowote.
Si sawa.Una sifa za bashite?kama huna usije
HahahaaSi sawa.
Numbisa.Hahahaa
Kwaio umeambiwa humu ndo utapata msaada? wewe ndo unaonekana unaakili za kivulana kuja kulialia humu ili wadada wakuonee huruma. Udomo zege hautokusaidia pambana huko kazini kwako,mtaani kwako utawapata humu unaonekana punguani na mandevu yako kibao unasubiri slope WTF
PovuI was to refrain to get more involved in this folly altercation with paranomally sluggerd like you but i can't let it be.
Sijaambiwa na yeyote kwa hichi nnachofanya hapa, ina maana kila nnachofanya lazima niwe nimeambiwa au unafikiri wote hatuna busara wala akili za kujiongoza kama wewe?
Yaani wewe sio tu una akili za kitoto bali pia ni kubwa jinga, mpumbavu na limbukeni usiojua matumizi ya mtandao na kibaya zaidi haujijui kama una sifa hizo. Na kuthibitisha haya ni jinsi ulivyoongea kama vile umewahi kuniona na kutotumia akili kwa kila unachokiandika.
Huo udomo zege unaosema mimi haunihusu sababu kwanza sio mimi mwenye bandiko hili, ninacho kifanya ni kupinga ujinga kama huu wako usiendelee kuwepo hapa JF na kabla ya kuandika upuuzi wako ulipaswa kujua kwanza dhamira kuu ya hili jukwaa ni nini.
Aina ya watu kama wewe na comment yako ya awali zinaonyesha kuwa jukwaa hili halina umuhimu wowote, sasa kama halina umuhimu kwako basi acha wale wanaoona lina umuhimu kwao walitumie na matumizi yake ndio kama haya ambayo wewe akili kisoda unayapinga.