Nahitaji mtaji wa 10 million. Sijui ni taasisi ipi ina masharti nafuu

Nahitaji mtaji wa 10 million. Sijui ni taasisi ipi ina masharti nafuu

International

Member
Joined
Feb 7, 2019
Posts
33
Reaction score
51
Fursa ipo. Location ni nzuri na inavutia biashara, nakwama kwenye huduma ya uhakika tu ili kukamata soko kikamilifu.

Uhitaji wa mtaji ndio kipaumbele changu kwa sasa. Ni milion kumi tu ndo nahitaji. Iwe ya riba nafuu na masharti yanayo timizika.

Nipo Dar es salaam. Biashara ni stationery, anayeweza nipa msaada wa taasisi inayoweza toa mkopo kwa kiwango hicho angalau na mimi niongeze huduma na vibarua angalau wawili ili tufike mbali na tutanue huduma zaidi.
 
 
Nenda kwenye mabenki walau wana masharti na riba nafuu ukilinganisha na taasisi za kifedha zingine. Eg: NMB, DCB, Postal Bank, CRDB
 
Kila la kheri ingawa sidhani Kama ni sahihi kukopa pesa kubwa ivyo kwa biashara ambayo Bado ni changa
 
Huwezi pata mkopo kwa kuanzisha biashara ya uchuuzi. Anza taratibu taratibu kwa mtaji ulionao. Otherwise fanya kazi, vibarua ukusanye mtaji then uanze kidogo.
 
Nachojua Mimi kama unanunua Mzigo wako sehemu moja kila Mara hakuna huwezi kukosa Mali kauli,ktk biashara yangu nilianza na milioni 3 lkn sasa hivi napewa Mzigo Mali kauli hadi 10milioni +
Fursa ipo. Location ni nzuri na inavutia biashara, nakwama kwenye huduma ya uhakika tu ili kukamata soko kikamilifu.

Uhitaji wa mtaji ndio kipaumbele changu kwa sasa. Ni milion kumi tu ndo nahitaji. Iwe ya riba nafuu na masharti yanayo timizika.

Nipo Dar es salaam. Biashara ni stationery, anayeweza nipa msaada wa taasisi inayoweza toa mkopo kwa kiwango hicho angalau na mimi niongeze huduma na vibarua angalau wawili ili tufike mbali na tutanue huduma zaidi.
 
Back
Top Bottom