Nahitaji mtaji wa biashara

Charles Gerald

JF-Expert Member
Joined
Mar 31, 2016
Posts
1,403
Reaction score
1,837
Habarini ndugu, kama kuna mtu anakopesha fedha naomba anisaidie. Mimi niko mwanza ila nina shamba la ekari moja la mpunga huko katavi na kuna pesa kama laki mbili nilikopesha kwa watu ambapo elfu 20000 ni sawa na gunia moja. Sasa mwezi wa sita naelekea huko kuvuna na kukusanya nilichokopesha kwa watu ila nina mpango wa kununua gunia angalau zifike mia, sasa wadau kama kuna mtu anaweza kunikopesha 5000000/= .
 
hahahah unazingua wewe komaa mkuu ata biblia iliandika kwan adam alipo ambiwa utalima kwa tabu alipewa hela??
 
Andika maelezo yako vizuri mkuu. Ukifanikiwa hilo mie nitakuelekeza wapi utapata mkopo kwa uhakika na fasta..
 
Mwandiko wako umekaa kiree kwa mujibu wa watu hapa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…