kipusy
JF-Expert Member
- May 7, 2010
- 639
- 323
Nimegundua mke wangu anatoka nje miez sita sasa kwa ushahidi wa kuwarecord kwa kutegesha recording kwenye simu yake baada ya kuchoka vitimbwi na kutopewa haki ya ndoa mara kwa mara na kuchelewa kurudi home pia safari nyingi kila weekend. Nikaamua kumtenga chumba baada ya kugombana na pia kutopata msaada kutoka kwa ndugu na wazazi wake kwani cku zote wamekua wako upande wake hata afanye baya gani.
Baada ya kumtenga chumba akaanza kushughulikia uhamisho kwan yeye ni mwalimu wa primary. Nilimihamishia mkoa ninao fanya kazi mimi cha ajabu halmashauri ya jiji imempa uhamisho, na mtoto wangu kamtorosha(ana miaka 6) na kwenda kumuanzisha darasa la kwanza mkoa mwingine wakati tayari nilishamtafutia shule nzuri english medium. Naombeni msaada wa mawazo na SHERIA.
Baada ya kumtenga chumba akaanza kushughulikia uhamisho kwan yeye ni mwalimu wa primary. Nilimihamishia mkoa ninao fanya kazi mimi cha ajabu halmashauri ya jiji imempa uhamisho, na mtoto wangu kamtorosha(ana miaka 6) na kwenda kumuanzisha darasa la kwanza mkoa mwingine wakati tayari nilishamtafutia shule nzuri english medium. Naombeni msaada wa mawazo na SHERIA.