Nahitaji mtu aliyepo Zanzibar anayeuza dagaa nyama. Unamjua?

Nahitaji mtu aliyepo Zanzibar anayeuza dagaa nyama. Unamjua?

Tanki

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2013
Posts
538
Reaction score
246
Habari wakuu!

Nimeelekezwa na mtu kwamba Zanzibar (visiwani) dagaa nyama wanauzwa kwa kipimo cha ndoo kubwa / ndoo ndogo na kuendelea. Please! Nahitaji connection ya muuzaji hao dagaa aliyeko huko visiwani. Mimi nipo Dar es salaam. Mwenye namba za huyo mtu naomba.

Ahsante
 
Back
Top Bottom