I IBRHYMEZ New Member Joined Jan 7, 2012 Posts 1 Reaction score 0 Jan 7, 2012 #1 mi ni mwanafunzi wa chuo cha engineering and technology! mwaka wa tatu, kiukwel natafuta mtu ambaye yuko serious ili kufungua kampuni ya ushonaji! nimeinvestigate vya kutosha! mtu yeyote ambate yuko tayari anitafute kwa namba ya simu 0654850886
mi ni mwanafunzi wa chuo cha engineering and technology! mwaka wa tatu, kiukwel natafuta mtu ambaye yuko serious ili kufungua kampuni ya ushonaji! nimeinvestigate vya kutosha! mtu yeyote ambate yuko tayari anitafute kwa namba ya simu 0654850886
Ubumuntu JF-Expert Member Joined Oct 21, 2010 Posts 14,345 Reaction score 10,885 Jan 7, 2012 #2 Mkuu,fafanua zaidi. Kampuni ya ushonaji unamaanisha? Tailoring? Au kampuni ya vifaa vya ushonaji? Hiyo introduction yako ya kua mwanafunzi wa engineering imeleta mkanganyiko wa kuunganisha na kile ulichokiandika.
Mkuu,fafanua zaidi. Kampuni ya ushonaji unamaanisha? Tailoring? Au kampuni ya vifaa vya ushonaji? Hiyo introduction yako ya kua mwanafunzi wa engineering imeleta mkanganyiko wa kuunganisha na kile ulichokiandika.