Nahitaji mtu anayeweza kuwekeza kwenye biashara yangu

Hi umesoma ulichokoandika? Uko all over the place na hakuna ulichosema umefanikiwa. Hujua hata biashara gani unataka kufanya. Msudan anakuundanisha tu kwa watu. Kuna jambo linapikwa
Lakini inaonekana,ni mzuri wa kukumbushia ahadi. Sasa mtu ameshakusoma huna uelekeo. Kujinasua atakuunganisha na watu wengine. Mtu hata kula ni shida,af aunganishwe eti mtu wa kununua madini. Dhahabu toni 36. Hivi,aliwahi jiuliza mwenye uwezo huu,wanaweza kukaa meza moja? Kwanza ulipoambiwa fungua kampuni,100% wewe ndo mmiliki,ungesita kwanza.
Eti unataka kumuona raisi! Hili ni wazi ulishajiweka kwenye kundi la wanaojiweza huku uhalisia ni tofauti. Akubali tu matokeo aishi kadri ya uwezo wake. Hizo fursa wapo wenye mishiko mikubwa sana wanazigombania
 
Maelezo yako ni mengi ila sidhani kama kuna mtu anakuelewa.Kuwa Brief and to the point.Unatka Pesa ya nin na Kiasi gani?Mtu akikupatia hio pesa yeye anapata faida gani?The uendelee kuanzai hapo
 
Aidha we ni mwiizi(tapeli) au wewe ni mjinga sana ambaye akili yake haiwez kufunguka hata kdg! Iv umesoma umeandika nn? Et gold tani 30 [emoji23] mtu anakuunganisha kila siku na matajir [emoji23]
 
na mwaka huu mwez June aliniunga na mtu alikuwa anahitaj kununua madini ya Gold na copper cathode zaidi ya 80 tani gold ikiwa 36 tons na 45 ya copper huyu mtu alikuwa seriously alifika mpaka hapa Tanzania ila bahati mbaya biashara ili shindikana.
Huyo mtu hakukuwajibisha kwa kumpotezea muda na gharama?!
 
Kingine anamuamini mtu haraka sana

Sent from my SHG03 using JamiiForums mobile app
 
Wewe ndio mwanafunzi yafom 3 tuambie ulimaliza mwak gani fom 3 yako
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…