Nahitaji mtu mzima nitulie nae

Una mtoto tena wapo vijana tumetulia tatizo mtoto
Tatizo ameshajazwa mimba kwenye kuruka ruka, hamna kijana anaejielewa atabeba mtu na mwanawe kwa ajili ya maisha..game inaanza 1 bila.

Hahaha, abanane na baba mtoto.
 
Kama atakubali kuonyesha kabuli la mzazi mwenzio utaweza kufanikiwa labda kwenye hayo Mawazo yako!
 
Hadi unakubali mwenyewe, inamaana hit and run zimepigwa za kutosha

Eeenh huyo malaika baba yake amekufa mwaka gani?
Wazee wa Quarter Mile ama 0-60 wamepenyeza sana rupia na kuchapa windows😅😅😅 mtoto kaona isiwe tabu!
 
Neno. Atulie from December to March

Awanyie shopping ya mwez December

Alpe kodi

Awaandae watoto shule

Akomaze mahitaj had march alafu muachane.


25 years tayar ume quite kupat mume .



Watu washnde mechi zA0
Kwenye kutulia sasa na hii dec

Sent from my vivo 2015 using JamiiForums mobile app
 
Reactions: Lee
😁😁😁😁 ukoroooofiiii huo
 
Umemharibia tayari
 
Nafikiri tuzungumze baada ya pasaka😅
 
Nishajitathimini na haya ndo maamuzi yangu,thank you.
Kwa jibu la namna hii wewe ni una tatizo kubwa usije ukatuulia babu yetu kabla ajaimaliza pension yake.

Halafu tafuta hela, mtu ukikosa hela mawazo kama sugar mummy na sugar daddy uwa yana take over kwenye ubongo
 
Nipo hapa
 
Ifikie hatua hizi Papuchi zenu muwe mnazilipia Kodi, inaonekana mnauwekezaji mzuri tu. TRA muione hii secta itabust uchumi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…