Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uko wapiNahita mtu wa kuungana naye tuweke kiwanda cha sembe nina mashine teal na jengo lipo kubwa store za kutosha shida mtaji wa kununua malighafi (mahindi), nembo ya kiwanda ,usajili , masoko,n.k View attachment 2531363
Kila la kheri nduguasante kwa ushauri mzr mkuu
Ok huko mbali ndugu yanguNipo Dodoma Hombolo mkuu
Ok huko mbali ndugu yangu
Hahahah karibu sana najaribu kuwatoa vijana kupoteza muda na mambo yasiyo na faida na kuibua fursa mpya zinazopatikana nje ya mfumo wa ajira rasmiIla wee jamaa bwana, unanipa hamasa sana katika utafutahi kila nikisoma andiko lako pahala.
Kila opportunity unatamani utie mguu, kama jiko la kuni vile huchagui mtu aisee. Huwa najifunza vingi sana kupitia kwako bro...!
Juwa tu kuwa unanihamasisha kupita maelezo natamani sana kuwa kama wewe, sijui oil chafu, maplastiki, matairi ya gari yaliyotumika, Pwani platform natumai pia upo mule shared, haya kuna hili wazo la kufungua Mall na kuanzisha brand mpya umo, nimeona tena umetengeneza magari ya mbao ya kuchezea watoto, hivyo ni vile nivijuavyo tu natumai una vingine vingine tu ambavyo unakimbizana navyo.
Natamani sana nipate muongozo kutoka kwako I hope nitafika somewhere kupitia maono yako mkuu.
Safi sana Mshana...!
[emoji1478][emoji1477]
Niko Pwanikiongoz wewe upo wapi
Hahahah karibu sana najaribu kuwatoa vijana kupoteza muda na mambo yasiyo na faida na kuibua fursa mpya zinazopatikana nje ya mfumo wa ajira rasmi
Kwa mfano huyo mwenye kiwanda cha unga tayari keshapiga hatua kubwa sana.. Sembe inalipa sana
Package waone sanku fortification watakupa kwa makubaliano na fortification. Nendo rahisi utatengenezewa kwa bei chee halafu utawatumia wao waibandike kwenye package yao. Yani utatengenezewa packages nyng wewe utakuwa unalipia kidogo kidogo unachukua na wanakupa virutubushi bure na wanaweza kukupa hata mashine ya dosfier bureNahita mtu wa kuungana naye tuweke kiwanda cha sembe nina mashine teal na jengo lipo kubwa store za kutosha shida mtaji wa kununua malighafi (mahindi), nembo ya kiwanda ,usajili , masoko,n.k View attachment 2531363
Nitafanya ziara mkuu nije kuonaNipo Dodoma Hombolo mkuu
Pwani Ni kubwa mkuu taja eneo husikaNiko Pwani
ingia kwa wakopeshaji. achana na partnership, mtakuja kudhulumiana na mtafutane ubaya.Nahita mtu wa kuungana naye tuweke kiwanda cha sembe nina mashine teal na jengo lipo kubwa store za kutosha shida mtaji wa kununua malighafi (mahindi), nembo ya kiwanda ,usajili , masoko,n.k View attachment 2531363
Msata na Kibaha brother