Nahitaji mubaba (mzee mwenzangu) wa kumaliza nae uzee. Umri kuanzia 45 -58, awe divorced au amefiwa na mke

Nahitaji mubaba (mzee mwenzangu) wa kumaliza nae uzee. Umri kuanzia 45 -58, awe divorced au amefiwa na mke

DadaQueen

New Member
Joined
Dec 8, 2024
Posts
1
Reaction score
14
Hello members habari!

Mimi ni Mumama aged 38!

Independent, nimeajiriwa, pia niko na business nyingine,elimu shahada ya pili na niko na kids pia.

Nahitaji mubaba (mzee mwenzangu) wa kumaliza nae uzee, umri kuanzia 45 -58, awe divorced au Amefiwa na mke(only that), awe na kazi ya kudumu na kipato cha kumudu maisha (Marioo strictly prohibited). Watoto hata wakiwa kumi tutalea baba kikubwa upendo.

Akiwa mkazi wa moshi itakua nzuri au Dar plus Dodoma. Karibu tufurahie maisha ya uzeeni baby dady.

NB: Tanzania ni Nchi huru mawazo ya kila mtu yaheshimiwe.
 
Hello members habari!!

Mimi ni Mumama aged 38!
Independent, nimeajiriwa, pia niko na business nyingine,elimu shahada ya pili na niko na kids pia.

Nahitaji mubaba(mzee mwenzangu)wa kumaliza nae uzee,umri kuanzia 45 -58,awe divorced au Amefiwa na mke(only that),awe na kazi ya kudumu na kipato cha kumudu maisha(Marioo strictly prohibited). Watoto hata wakiwa kumi tutalea baba kikubwa upendo.

Akiwa mkazi wa moshi itakua nzuri au Dar plus Dodoma.Karibu tufurahie maisha ya uzeeni baby dady.

NB: Tanzania ni Nchi huru mawazo ya kila mtu yaheshimiwe.
Safi vipi mie ambaye hiv+ naruhusiwa kuja pm?
 
Hello members habari!!

Mimi ni Mumama aged 38!
Independent, nimeajiriwa, pia niko na business nyingine,elimu shahada ya pili na niko na kids pia.

Nahitaji mubaba(mzee mwenzangu)wa kumaliza nae uzee,umri kuanzia 45 -58,awe divorced au Amefiwa na mke(only that),awe na kazi ya kudumu na kipato cha kumudu maisha(Marioo strictly prohibited). Watoto hata wakiwa kumi tutalea baba kikubwa upendo.

Akiwa mkazi wa moshi itakua nzuri au Dar plus Dodoma.Karibu tufurahie maisha ya uzeeni baby dady.

NB: Tanzania ni Nchi huru mawazo ya kila mtu yaheshimiwe.
Mimi mke wangu anaumwa, vipi nifanye booking? Vitu vingine vyote nafit
 
Sisi wenye miaka 30 hututaki au wewe siyo mlezi wa wana?
 
Hello members habari!!

Mimi ni Mumama aged 38!
Independent, nimeajiriwa, pia niko na business nyingine,elimu shahada ya pili na niko na kids pia.

Nahitaji mubaba(mzee mwenzangu)wa kumaliza nae uzee,umri kuanzia 45 -58,awe divorced au Amefiwa na mke(only that),awe na kazi ya kudumu na kipato cha kumudu maisha(Marioo strictly prohibited). Watoto hata wakiwa kumi tutalea baba kikubwa upendo.

Akiwa mkazi wa moshi itakua nzuri au Dar plus Dodoma.Karibu tufurahie maisha ya uzeeni baby dady.

NB: Tanzania ni Nchi huru mawazo ya kila mtu yaheshimiwe.
Zeeka mwenyewe
 
Enzi za ijana wako ulikuwa unajidai elimu inakupa kiburi unawaza kuolewa na wanaume matajiri ukaambulia kuzalishwa na kutelekezwa .
Lea watoto wako uliyataka mwenyewe huna wa kumlaumu.
 
Hello members habari!

Mimi ni Mumama aged 38!

Independent, nimeajiriwa, pia niko na business nyingine,elimu shahada ya pili na niko na kids pia.

Nahitaji mubaba (mzee mwenzangu) wa kumaliza nae uzee, umri kuanzia 45 -58, awe divorced au Amefiwa na mke(only that), awe na kazi ya kudumu na kipato cha kumudu maisha (Marioo strictly prohibited). Watoto hata wakiwa kumi tutalea baba kikubwa upendo.

Akiwa mkazi wa moshi itakua nzuri au Dar plus Dodoma. Karibu tufurahie maisha ya uzeeni baby dady.

NB: Tanzania ni Nchi huru mawazo ya kila mtu yaheshimiwe.
Afike na vyeti vyake vya hospital au sio muhimu!
 
Back
Top Bottom