Nahitaji Mumamaaa

Lyandembela1

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2013
Posts
277
Reaction score
113
Heshima mbele wanajamvi,

Wakuu natafuta mama wa umri wa 45-50 mimi nina umri wa 30-35.

Awe na mkwanja wa kutosha yaani mupunga (Hela). Ni kijana mwenye nguvu za kutosha katika mambo yetu yaleeeeeeee.

PM zinaruhusiwa
 
Ha ha ha sa kama una nguvu za kutosha si uzitumie kufanya kazi aseee??????
 
We umechoka! Fanya kazi acha kupenda shortcut! Jimama la nini umekosa size yako? Utalaaniwa bure wewe!!!
 
Ama kweli! Ukistaajabu ya Mussa utayaona ya Firauni! Ya Firauni ndo haya sasa!
 
Hizo nguvu zako zitumie kuwa hata kuli lakini ndo upende mteremko

LOoh mwanaume mzima!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…